Kamati kuu ya CCM haina furaha

Kamati kuu ya CCM haina furaha

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Ni wazi kamati kuu ndani ya CCM ikiwa chini ya Jakaya Kikwete haina furaha, siamini hii kamati haijui role ya hawa wafanyabiashara wakwepa kodi, hapa tunapigwa changa la macho CCM inatumia mabilioni kwenye kumweka Rais na wabunge hivi unadhani zinatoka wapi? inaitwa give &return.

Sasa mh Magufuli sidhani kama hajui haya, kiukweli ana display udhaifu wa kamati kuu chini ya Kikwete.

Kamati kuu CCM haina furaha.

Mfano; " kunawatu wanamsingizia hata mwanangu juu MTU kukwepa kodi, hizo ni siasa za majitaka za wapinzani, wamwache Magufuli afanye kazi"" by Kikwete.

Pia kamati kuonya mh asichukue hatua kwa majungu afanye uchunguzi kabla jipu kutumbuliwa.

Argue, don't shout!
 
Wakati wa Kenyatta kulikuwa na mtu very powerfull anaitwa Njonjo....
huyo aliwahi mzaba vibao makamu wa Rais Daniel Arap Moi...
na alijua Moi hata akiwa Rais ataendelea tu kuwa na nguvu....

baba yake alimwambia hebu jaribu kumpa paka kipande cha nyama halafu jaribu kumnyan'ganya...


Kamati kuu sasa na wao wajaribu hilo kama wanafikiri wataweza......
 
Wakati wa Kenyatta kulikuwa na mtu very powerfull anaitwa Njonjo....
huyo aliwahi mzaba vibao makamu wa Rais Daniel Arap Moi...
na alijua Moi hata akiwa Rais ataendelea tu kuwa na nguvu....

baba yake alimwambia hebu jaribu kumpa paka kipande cha nyama halafu jaribu kumnyan'ganya...


Kamati kuu sasa na wao wajaribu hilo kama wanafikiri wataweza......
The Boss fukuto likizidi watu hutoka mafichoni...mambo yameshaanza
 
Last edited by a moderator:
The Boss fukuto likizidi watu hutoka mafichoni...mambo yameshaanza

Hata alichosema Nape uzi ni kama kumponda Magufuli na 'hapa kazi tu'
alisema kama wafanyakazi hawapewi vifaa vya kazi huwezi kusema tu hapa kazi tu
 
Amevuta za wapi si za Njombe ambazo Spika mstaafu alisema hazina madhara kihivyo labda itakuwa tu kitu kingine
 
kamati imeanza kuplay part yake kujazia mawaziri waliobaki
 
Wakati wa Kenyatta kulikuwa na mtu very powerfull anaitwa Njonjo....
huyo aliwahi mzaba vibao makamu wa Rais Daniel Arap Moi...
na alijua Moi hata akiwa Rais ataendelea tu kuwa na nguvu....

baba yake alimwambia hebu jaribu kumpa paka kipande cha nyama halafu jaribu kumnyan'ganya...


Kamati kuu sasa na wao wajaribu hilo kama wanafikiri wataweza......

mawaziri wanne watateuliwa na kamati kuu
 
Wakati wa Kenyatta kulikuwa na mtu very powerfull anaitwa Njonjo....
huyo aliwahi mzaba vibao makamu wa Rais Daniel Arap Moi...
na alijua Moi hata akiwa Rais ataendelea tu kuwa na nguvu....

baba yake alimwambia hebu jaribu kumpa paka kipande cha nyama halafu jaribu kumnyan'ganya...


Kamati kuu sasa na wao wajaribu hilo kama wanafikiri wataweza......

nice observation.... ila hawana jinsi zaidi ya kumpa tu!!!
 
mtahangaika sana mtasema sana ccm wapo kwenye mchakato mkali sana wa kuwachunguza kwa makini na ukaribu zaidi wale ccm mchana usiku chadema.
mtoa mada usiokote maneno ya kwenye vijiwe vya vimburu utaonekana mjinga
 
Hiv wewe ni mkenya?......maana hicho kiswahili chako?..... hiv kuna mtz anasemaga "Juu" akimaanisha neno sababu?.........

kama ni kweli achana na hizo porojo.........mahufuli hajuti na wala hiyo kamat kuu.......hao matajiri waneshafaidika saana na hiyo kamat kuu.....hamna cha wao kujuta katika hili la prof magu
 
Kupambana na wakwepa kodi unapaswa kuwa na roho ngumu kama ya Magufuli. Si kila mtu ana ujasiri huo
 
mtahangaika sana mtasema sana ccm wapo kwenye mchakato mkali sana wa kuwachunguza kwa makini na ukaribu zaidi wale ccm mchana usiku chadema.
mtoa mada usiokote maneno ya kwenye vijiwe vya vimburu utaonekana mjinga

Kumbe ndan ya ccm kuna watu wa aina hii..?? so mwez
wameshindwa kuwabain mpaka nafas zmeachwa waz zingne..???
 
Kupambana na wakwepa kodi unapaswa kuwa na roho ngumu kama ya Magufuli. Si kila mtu ana ujasiri huo

Magu ashafungwa minyororo,sasa ni kusikiliza maelekezo toka ikulu ya msoga
 
Maccm aka magambaz are stuck between a rock and a hard place! Wakimbana sana JPM; "wataumia"! Na wakimuachia sana wataendelea kuumia! Wanavuna walichopanda; wengi wao akiwemo Kikwete watakuwa wanajuta kumtosa Lowassa! angewauma na kupuliza kwa sababu ametoka nao mbali! Kazi kwao.


Ni wazi kamati kuu ndani ya CCM ikiwa chini ya JK haina furaha. siamini hii kamati haijui role ya hawa wafanyabiashara wakwepa kodi. hapa tunapigwa changa la macho CCM inatumia billions kwenye kumweka rais na wabunge hivi unazani zinatoka wapi? inaitwa give &return.

sasa mh magufuli sidhani kama hajui haya, kiukweli anadisplay udhaifu wa kamati kuu chini ya kikwete.

kamati kuu CCM haina furaha.

mfano; " kunawatu wanamsingizia hata mwanangu juu MTU kukwepa kodi, hizo ni siasa za majitaka za wapinzani,wamwache magufuli afanye kazi"" by kikwete.
pia kamati kuonya mh asichukue hatua kwa majungu afanye uchunguzi kabla jipu kutumbuliwa.

Argue,don't shout!
 
Back
Top Bottom