Eti ni haki kuvutiwa gari parking za nje ya mji kama mwenge,sinza, nk.. ukipaki pembeni ya barabara wakidai wanasafisha jiji nfano nilipark TRA nje ndani kulijaa na wakanicharge tsh 195000. wakidai nimkakati wa manispaa kusafisha jiji, nanilipoenda manispaa kupata maelezo yakuvutiwa gari sehemu isiyokuwa nasaign ya wrong parking, pia madika yote ya dar es salaam parking ni pembezoni mwa njia ikiwemo bar, hotel, luku,photocopy, ofc nk. walinijibu manispaa inaandaa tender mzabuni akipatikana watalipisha parking kama mjini. sasa naomba kujua kama manispaa haijapata mzabuni wa kucharge parking kosa langu mimi niliepark gari sehemu ambayo mchukua pesa za parking hayupo likowapi?