Kamatakamata za magari wrong parking nje ya mji.

Amagezi

New Member
Jan 25, 2012
2
0
Eti ni haki kuvutiwa gari parking za nje ya mji kama mwenge,sinza, nk.. ukipaki pembeni ya barabara wakidai wanasafisha jiji nfano nilipark TRA nje ndani kulijaa na wakanicharge tsh 195000. wakidai nimkakati wa manispaa kusafisha jiji, nanilipoenda manispaa kupata maelezo yakuvutiwa gari sehemu isiyokuwa nasaign ya wrong parking, pia madika yote ya dar es salaam parking ni pembezoni mwa njia ikiwemo bar, hotel, luku,photocopy, ofc nk. walinijibu manispaa inaandaa tender mzabuni akipatikana watalipisha parking kama mjini. sasa naomba kujua kama manispaa haijapata mzabuni wa kucharge parking kosa langu mimi niliepark gari sehemu ambayo mchukua pesa za parking hayupo likowapi?
 
mkuu siku nyingine wasipokufunga hao manispaa wala wasikusumbue!unatimka zako tuu!mm nlishatimua mara nying tuu!hawana radio,wataandika namba!mjin magar meng watalionea wapi?wanaboa kichz
 
Eti ni haki kuvutiwa gari parking za nje ya mji kama mwenge,sinza, nk.. ukipaki pembeni ya barabara wakidai wanasafisha jiji nfano nilipark TRA nje ndani kulijaa na wakanicharge tsh 195000. wakidai nimkakati wa manispaa kusafisha jiji, nanilipoenda manispaa kupata maelezo yakuvutiwa gari sehemu isiyokuwa nasaign ya wrong parking, pia madika yote ya dar es salaam parking ni pembezoni mwa njia ikiwemo bar, hotel, luku,photocopy, ofc nk. walinijibu manispaa inaandaa tender mzabuni akipatikana watalipisha parking kama mjini. sasa naomba kujua kama manispaa haijapata mzabuni wa kucharge parking kosa langu mimi niliepark gari sehemu ambayo mchukua pesa za parking hayupo likowapi?

Nadhani utakuwa ni mkakati wa kutafuta pesa huo si unajua serikali imechoka sana kiasi cha kukata bajeti ya mawizaRA yake kwa 50%? Alafu wanaendelea kusema tumethubutu tumeweza na tunazidi kusonga mbele.
 
eti ni haki kuvutiwa gari parking za nje ya mji kama mwenge,sinza, nk.. Ukipaki pembeni ya barabara wakidai wanasafisha jiji nfano nilipark tra nje ndani kulijaa na wakanicharge tsh 195000. Wakidai nimkakati wa manispaa kusafisha jiji, nanilipoenda manispaa kupata maelezo yakuvutiwa gari sehemu isiyokuwa nasaign ya wrong parking, pia madika yote ya dar es salaam parking ni pembezoni mwa njia ikiwemo bar, hotel, luku,photocopy, ofc nk. Walinijibu manispaa inaandaa tender mzabuni akipatikana watalipisha parking kama mjini. Sasa naomba kujua kama manispaa haijapata mzabuni wa kucharge parking kosa langu mimi niliepark gari sehemu ambayo mchukua pesa za parking hayupo likowapi?

hiyo 195,000 ulimpelekea mkeo hao ndio wachukua pesa mpwa
wee lipa anza siku nyingine ni pm kuna parking nyingi tu za watu ,kampuni tayarisha kabuku chako tupige kazi vat included full kujiachia unarudi jioni kufwata gari yako
 
Back
Top Bottom