Kuna kamatakamata ya magari ukiparki pembeni ya barabara huku pembeni ya mji hata kama unaingia benki,dukani,supermaket nk. wakidai wenye maduka na mabenki au TRA walipie manispaa parking hizo kwakuwa eneolote la pembeni mwa barabara nieneo la manispaa na wanamkakati wakulitafutia mzabuni wakucharge parking kama mjini... japo sifikirii kama nikosa letu wenye magari lakini hao wanaofanya mchakato huo MWAKINGA AUCTION MART hawatoi risiti za selikari wakati wanadai ni charges za manispaa, ukiuliza ni ugonvi mkubwa. serikali iliangalie hili na haowanaopewa kazi yakukamata sio wastaarabu.