Maji hayapiti? Maji gani? Hayapiti wapi?
Hebu ngoja kwanza nikuPM.
Kisingekuwa kichoyo si kingekiwekea sheria ya kujimilikisha kikojoleo cha jinsia nyingine? Sasa chenyewe kimekaa tuuu..... Sijui kimeziba? Manina!
Aya chukua like kwanza!
Nna uhakika ndiyo. Angekuwa si mchoyo angejimilikisha kikojoleo kimoja afu aendelee kuvigonga vya masista, masista duu, wajane na mabaamedi kama tunavyofanya tusio wachoyo.
Acha kuPM wake za watu kisha kamata 'like' hiyo!Maji hayapiti? Maji gani? Hayapiti wapi?
Hebu ngoja kwanza nikuPM.
Hana na hatakua nayo babu lol!Mumeo hana nyumba ndogo?
Hana na hatakua nayo babu lol!
Ushanijaribu ukashindwa? Acha woga wako nawee.
Kwa kuanzia tuanze na avatar zetu, zikiwezana tujue la kufanya. Right?