Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Sasa wewe utatumia nini leo ma darlin!Darling,chukua tu umgongee babu mi like ya kutosha lol!
Sasa wewe utatumia nini leo ma darlin!Darling,chukua tu umgongee babu mi like ya kutosha lol!
Yale mambo yetu tutayagonganisha wakati kijana wa Bikira Maria akiwa anapaa mbinguni kwa babake. Tukigonganisha kwa sasa bado ana hasira ya kugongwa na misumari hachelewi kutuchenjia. Mbona hujanigongea asee?
nataka kweli kukugongea ila namuogopa kongosho.....hachelewi kunipiga sound.....
Hahahaha........!mambo si ndo haya....
Maana nimekuvalia kanga moja weeee huelewi.....
Nimekurembulia macho weeeeeeee ukajifanya huoni.....
Haya mi tabia nipo tayari kuibadili kwa ajili yako....mradi unilinde dhidi ya kongosho, si unajua ananyanyua vyuma mie simwezi?
Sasa wewe utatumia nini leo ma darlin!
Hivi Tecno nayo ni ya kichina?mchina ndo inafaa kugongea like......
Hahahaha........!
Naona umeanza kubadili tabia taratibu. Unatumia kinywaji gani?
Usimwogope kongosho, FYI huwa ananisaidia kwenye kugonganisha vinaniliyu vya wajukuu.
Come this way sasa.....:ballchain:
Senkyu asali wa moyo wangu..Kwa ajili yako wala haitanisumbua,as long as uko pemben yangu na malike unamgongea babu yetu ODM its ok my love just have it!
Afu leo tukamimine wapi maji haramu ili tuvigonganisha viwe vinaongea kiinglishi?
Senkyu asali wa moyo wangu..
Namuona Kongosho anasoma post yako kwa hasira sana...
Hivi umeanza kukosa imani na mimi kuanzia lini. Kongosho ni asali ya ODM. Vingine sukari tu.BT na ODM, mtahamia Kenya sasa hivi, mkabadili tabia za wagombea wa ODM.
Mtachezeanaje hadharani? Naona mnatafuta shambulio la aibu?
Ile ina kunguni afu vitanda vyake vinapiga kelele sana. Afu kwa umri wetu huu yanini tukagonganishie geshti haushi wakati kuna vikwangua anga vya aja kibao?fyatanga, pale kwa nyuma kuna gesti hausi.
Watyaa itimba usho mwanandie....
Wakulu wangwe na vijukuu kwa mpigo marahaba.
Huyu mazee ODM anataraji kwenda maeneo ambayo laptop hairuhusiwi kufika na ikifika ukiiwasha haiwaki. Ukileta ukaidi ukang'angana kuiwasha screen haidisplay kitu....
Dadadeki ya Lusinde wallah... :smash:
Sasa basi kwa kuwa nawapendeni sana ntakuwa namisi kuwatendeeni haki kwa kale ka-button kangu pendwa ka LIKE. Kale kadude nisipokakong'oli mtima wangu huwa unashuka na mawasiliano kati ya ubongo na baiolojia huwa yanapata itilafu (Nahofia nisijebaka mitetea).
Sasa basi jiungeni nami kutakiana heri na kugongeana maLIKE.
Natumaini mchina wangu hataniangusha. hivyo Chit Chat kama kawaaa!
Hivi leo lini? Ngoja niwahi kaunta ya juu.
Sijapata mkuu.......... Ilikuwa shingapi vile? We ni mtu muhimu sana si unajua Those who bring sunshine into the lives of others, cannot keep it from themselves.Habari zenu wakubwa mie nawasalimu tuuuu... dada Kongosho upo? kaka Rejao Canta hajambo? Babu ODM ulipata salamu zangu za pasaka? Hi CAnta?
Bonyeza Ctrl + Alt + DelOoops! file not found server..