Kamata LIKES za ODM!!!

Sijapata mkuu.......... Ilikuwa shingapi vile? We ni mtu muhimu sana si unajua Those who bring sunshine into the lives of others, cannot keep it from themselves.


hizi hapa

JF Senior Expert Member Array


Join Date : 3rd December 2011
Posts : 889
Rep Power : 496
Likes Received139
Likes Given148


[h=2]
icon1.png
[/h]



eeeh, na wajomba zangu wakiongozwa na Bishanga, ODM, TB, MTALY, MUSIMO, HERI YA PASAKA PIA KWENU PIA.

CHONDE CHONDE MSILEWE LEO

kwenye uzi wa https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/247252-salaam-zangu-maalum-kutoka-moyoni-mwangu.html
 
Yaani dogo tangu uzaliwe hako katufe umekagonga mara 148 tu? Dah.... Mchoyo sana wewe.

hapana Uncle...... hako nakagonga sana ukitaka kunipima uchoyo angalia nilizotoa na nilizopokea......
 
deree....shukishà kwa mtigiro briji....haki leo nimekaa kiroro....ati umesemajee....?
 
Kwa nini jana ulinikimbia pale Tupendane Gest House?

Afu hata ule wali maharage hukulipia?

Badala ya soda ukanipa togwa?
Hivi Rejao si nlishakwambia achana naye? Nshachoka kushea naniliyu na maskini. Tafuta mwingine mwenye mahela.....:iamwithstupid:
 
Back
Top Bottom