PostGE2025 Kamata kamata mitaani imeshika kasi

PostGE2025 Kamata kamata mitaani imeshika kasi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

sportstore

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2023
Posts
553
Reaction score
1,916
Polisi na wajeshi wanapita mitaa muda huu wanakamata kila mtu aliyekuwa nje..Huyo kijana mwenye shati jeupe amedakwa muda huu anapelekwa kwenye gari

IMG_20251209_130901.jpg
 
Hawa makumah wanatia hasira ngoja tushushe kadhaa ili tuelewane kwanza...
 
leo ni siku mbaya kwa vibaka walifikiri jeshi limelala

amani ya nchi italindwa kwa namana yoyote kazi na utu tunasonga mbele
Amani bila haki?? Vibaka ni waliojitangaza bila ya ridhaa ya wananchi na kuapishana kwenye kambi za jeshi. Uliona wapi hiyo?
 
Back
Top Bottom