Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 167,059
- 185,348
Askari wa kike ana mzigo huo...
Ni uthibitisho gani mnaoutaka? Ni mangapi unayapinga humu? Hebu usiwe na degedege hakuna hayawani wa kumezeshwa matango pori kama huko lumumba.Habari siyo hoja, habari inapaswa kuwa na uthibitisho,mtu analeta habari hasemi ni wapi,analeta picha tu na mnataka tuamini
HuzuniNguvu nyiiingi kumlinda mzenji aiseeeeeee
Askari wa kike ana mzigo huo...
Kusonga mbele ni ngumu mkuuleo ni siku mbaya kwa vibaka walifikiri jeshi limelala
amani ya nchi italindwa kwa namana yoyote kazi na utu tunasonga mbele
Dah!!Nakala kwa mahondaw
Hawa ndiyo watawala walioshinda kwa asilimia 98 wanaowaogopa wapiga kura waoPolisi na wajeshi wanapita mitaa muda huu wanakamata kila mtu aliyekuwa nje..Huyo kijana mwenye shati jeupe amedakwa muda huu anapelekwa kwenye gari
View attachment 3513500
Afande mnafanyaje sasa.. Tulikubalina hakuna kumatana.. inakuwaje tenaKhaaaa!!! 🤥🤥🤥
angekuwa ameshinda kihalali asingeruhusu mauaji ya wapiga kura wake wengi vileHawa ndiyo watawala waliodhinda kwa asilimia 98 wanaowaogopa wapiga kura wao
😂😂😂Leo kila propaganda Ina feli. Ni swala la muda tu, wote mta tubu.