crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
Toka juzi katkati ya jiji la Dar hasa mitaa ya makunganya, jamhuri karibu na roundabout ya Bharklesa, Bilcanas na kwingineko kulikuwa tafrani kubwa baada ya kuanza operation ya kukamata magari yaliyokuwa yana pita no entry road sign. Hizi alama nakumbuka ziliwekwa kitambo zikawa kama zilikosewa maana nyingine hadi zilizibwa kuonyesha kuwazijaanza kutumika.
Hata jana askari niliyeongea naye alikiri kuwa nyingine ziliwekwa kimakosa. Kwa ujumla ni kama zilikuwa zimetelekezwa kwani nilikuwa nayashuhudia hata magari ya kawaida ya polisi yakizitumia njia hizo.
Ghafla juzi operation kubwa ikaanza na kuacha vilio vikubwa kwani ulikuwa unaandikiwa makosa mawili la kuingia no entry Road na kufanya eti blockage kwa magari mengine. Kwa kweli kulikuwa na kama kukomoana hivi kwani kuandikiwa makosa mawili kulionyesha wazi kuwa lengo si kutoa taadhali bali kuna agenda nyuma yake. Mtu mmoja nilimsikia akisema " Ukisikia kuwa hali ya uchumi sio nzuri Tz muelewe.
Je, wewe umelipokea vipi jambo hili?
Hata jana askari niliyeongea naye alikiri kuwa nyingine ziliwekwa kimakosa. Kwa ujumla ni kama zilikuwa zimetelekezwa kwani nilikuwa nayashuhudia hata magari ya kawaida ya polisi yakizitumia njia hizo.
Ghafla juzi operation kubwa ikaanza na kuacha vilio vikubwa kwani ulikuwa unaandikiwa makosa mawili la kuingia no entry Road na kufanya eti blockage kwa magari mengine. Kwa kweli kulikuwa na kama kukomoana hivi kwani kuandikiwa makosa mawili kulionyesha wazi kuwa lengo si kutoa taadhali bali kuna agenda nyuma yake. Mtu mmoja nilimsikia akisema " Ukisikia kuwa hali ya uchumi sio nzuri Tz muelewe.
Je, wewe umelipokea vipi jambo hili?