TANZIA Askari Godfrey Mahundi afariki dunia

TANZIA Askari Godfrey Mahundi afariki dunia

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,814
Reaction score
9,339
Habari ndugu, jamaa, rafiki na wote kwa ujumla.

Tunasikitika kuwatangazia taarifa ya msiba wa ndugu yetu mpendwa, GODFREY MAHUNDI, aliyefariki dunia akiwa Songea usiku wa kuamkia tarehe 5 Septemba.

Mazishi yatafanyika tarehe 8 Septemba, siku ya Jumanne.

Mungu ametoa na Mungu ametwaa; jina lake lihimidiwe.

Umevipiga vita vilivyo, imani umeilinda.

1000507557.jpg
 
View attachment 3665208

Habari ndugu, jamaa na rafiki na kwa wote kwa ujumla tunasikitika kuwatangazia taarifa ya msiba wa ndugu yetu mpendwa wetu GODFREY MAHUNDI amefariki akiwa Songea usiku wa kuamkia tarehe 5 September.. Mazishi yatafanyika 8 September siku ya jumanne .. Mungu ametoa na ametwaa jina lake lihimidiwe .. Umevipiga vita vilivyo imani umeilinda
RIP POTIII
 
Ni kosa kubwa sana kiimani kutumia maneno ya Mungu, manabii na mitume kama vibwagizo.
Maneno ya Mtume Paul:
"Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda.

Mtume Paulo aliyasema hayo akiwa gerezani kwaajili ya kuihubiri injili ya Kristo.
Paulo aliyasema hayo akijua kuwa anakaribia kuuawa, baada ya kukataa kuacha kuihubiri injili. Alikubali kufa kuliko kuikana imani yake.

Haya maneno siyo ya kutamka kwa kila mtu, bali ni kwa wale walioamua kuyaishi mafundisho ya Kristo kikamilifu. Paulo aliyatamka maneno hayo yeye mwenyewe kabla hajauawa, hayakutamkwa na watu wengine baada ya yeye kufa.

Kwa huyu, ambaye hatuyajui maisha yake yalikuwaje, yatosha tu kueapa pole wafiwa, na kumwomva Mungu ampokee kwenye makao ya milele na amjalie pumziko jema kama katika maisha aliamini uwepo wa Mungu, na alijitahidi kuyaishi mafundisho ya Kristo mwokozi wetu.
 
Sababu za kifo chake?
Mazishi yatafanyikia wapi?
Nafasi yake ndani ya Jeshi na Jamii Kwa Ujumla?
Taarifa iongezewe Nyama..
Vinginevyo msingeipost..
 
Back
Top Bottom