TANZIA Askari Godfrey Mahundi afariki dunia

TANZIA Askari Godfrey Mahundi afariki dunia

Habari ndugu, jamaa, rafiki na wote kwa ujumla.

Tunasikitika kuwatangazia taarifa ya msiba wa ndugu yetu mpendwa, GODFREY MAHUNDI, aliyefariki dunia akiwa Songea usiku wa kuamkia tarehe 5 Septemba.

Mazishi yatafanyika tarehe 8 Septemba, siku ya Jumanne.

Mungu ametoa na Mungu ametwaa; jina lake lihimidiwe.

Umevipiga vita vilivyo, imani umeilinda.

Leo wanapaisha tu mipira
 
Habari ndugu, jamaa, rafiki na wote kwa ujumla.

Tunasikitika kuwatangazia taarifa ya msiba wa ndugu yetu mpendwa, GODFREY MAHUNDI, aliyefariki dunia akiwa Songea usiku wa kuamkia tarehe 5 Septemba.

Mazishi yatafanyika tarehe 8 Septemba, siku ya Jumanne.

Mungu ametoa na Mungu ametwaa; jina lake lihimidiwe.

Umevipiga vita vilivyo, imani umeilinda.

Alikuwa bado kijana
 
Back
Top Bottom