Kamanda wa anga pole bwana, ndio siasa hiyo.

Kamanda wa anga pole bwana, ndio siasa hiyo.

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Ingawa zilipigwa 'promosheni' za muda mrefu huko kata ya Iyela jijini Mbeya kuwa kutakuwa na mkutano wa kamanda wa anga, bwana Mbowe..!!

Lakini leo ilikuwa ni aibu kubwa kwa Mbowe kwani alionekana kuhutubia miti huku watu wengi wakionekana kuendelea na shughuli zao kama hakuna kinacho endelea.

Kamanda wa anga kwa kujikaza na aibu hiyo, aliendelea tu kuhutubia miti huku watu wakiwa wachache, pia sura yake haikuwa yenye furaha kabisa kutokana na mwitikio mdogo wa watu kwenye mkutano wake, aidha, ilikuwa ni fedheha kubwa kwa bwana Mbowe.

Baada ya kumaliza kupiga makelele yake jukwaani alielekea ofisi ya kata ya Iyela huku msafara wake ukiwa umetawaliwa na watoto wa shule ya msingi ambao hawakuwa wanajua chochote.

Pole kamanda wa anga.
 
Nasikia Mtela ameishapita huko sasa ulitegemea nini
Watu wameisha jitambua,

Ukali wa viroba hautakaa milele vichwani mwa makamanda, taratibu wanaanza kujitambua
 
Weka picha za ushahidi,
Otherwise peleka mbalii!!
 
Nasikia Mtela ameishapita huko sasa ulitegemea nini
Watu wameisha jitambua,

Ukali wa viroba hautakaa milele vichwani mwa makamanda, taratibu wanaanza kujitambua

Kweli Mtela na Shonza ni majembe, yani wameua kabisa u-CHADEMA huko Mbeya.
 
Siasa kweli mtihani leo kule kesho huku,kweli mbowe ni mtu wa kukosa watu kwenye mkutano kweli siasa pata potea.
 
ulivyo mjinga habari kama hii unaileta bila ushahidi wa picha.
 
Ingawa zilipigwa promosheni za muda mrefu huko kata ya Iyela jijini Mbeya kuwa kutakuwa na mkutano wa kamanda wa anga bwana Mbowe, leo ilikuwa aibu kubwa kwa Mbowe kwani alionekana kuhutubia miti huku watu wengi wakionekana kuendelea na shughuli zao kama hakuna kinacho endelea.

Kamanda wa anga kwa kujikaza na aibu hiyo, aliendelea tu kuhutubia miti na hao watu wachache ila sura yake haikuwa yenye furaha kabisa kutokana na kutoamini kinacho endelea, kwani hakutarajia fedhea hiyo kutoka kwa wana Mbeya.

Baada ya kumaliza kupiga makelele yake jukwaani alielekea ofisi ya kata ya Iyela huku msafara wake ukiwa umetawaliwa na watoto wa shule ya msingi ambao hawakuwa wanajua chochote.

Pole kamanda wa anga.
Unapopost thread ili iweze kuaminika na kukubalika ni lazima iwe na viambatanisho vinavyoonyesha ulichokikusudia kukiwasilisha na inatakiwa kiwe na dondoo za nini Mbowe alikizungumza. kwa hiki ulichokiwasilisha ninakiweka kwenye group za UDAKU kwani taarifa yako ipo ROBO haijakamilika.
 
Nasikia Mtela ameishapita huko sasa ulitegemea nini
Watu wameisha jitambua,

Ukali wa viroba hautakaa milele vichwani mwa makamanda, taratibu wanaanza kujitambua

Itabidi niipende sana CDM, Maana kwa miaka chini ya 10 sasa imewafanya watanzania kuchangamka na kuamka kwa ghafla kujua haki zao ikilinganishwa na Chama Chetu kilichochukua zaidi ya miaka 40 watanzania wakiwa bado usingizini totoro. Wakiahidiwa hawahoji na wakihoji wanaambiwa "Kuna shida gani kutoa ahadi miaka 10 iliyopita na kutekeleza miaka 10 ijayo? kwani ahadi si imetimia?"
CDM hebu kimbizeni kimbizeni huko majukwaani walau ahadi tulizoahidiwa zitekelezwe.
 
Mimi huwa ninaamini sana kwa wapiga kula yote haya yatafahamika siku ya kupiga kula.tambo hawa wanasiasa njaa zitagota tu.
 
Mtoa mada ameshindwa kufikisha ujumbe, bali ni mawazo yake na Ukereketwa wake. Don't waste my time again
 
Ingawa zilipigwa promosheni za muda mrefu huko kata ya Iyela jijini Mbeya kuwa kutakuwa na mkutano wa kamanda wa anga bwana Mbowe, leo ilikuwa aibu kubwa kwa Mbowe kwani alionekana kuhutubia miti huku watu wengi wakionekana kuendelea na shughuli zao kama hakuna kinacho endelea.

Kamanda wa anga kwa kujikaza na aibu hiyo, aliendelea tu kuhutubia miti na hao watu wachache ila sura yake haikuwa yenye furaha kabisa kutokana na kutoamini kinacho endelea, kwani hakutarajia fedhea hiyo kutoka kwa wana Mbeya.

Baada ya kumaliza kupiga makelele yake jukwaani alielekea ofisi ya kata ya Iyela huku msafara wake ukiwa umetawaliwa na watoto wa shule ya msingi ambao hawakuwa wanajua chochote.

Pole kamanda wa anga.

Hii ndio ilivyokua leo kata ya iyela hapa jijini
mbeya kwenye mkutano wa Chadema
, sasa wewe mbwa mwitu unapotosha tu bila ushahidi Moderators unguza ili joka uenda hajui sheria za hapa jukwaani
 
Mbowe na mbeya huniambii kitu hata isipotangazwa
 
we mbea na mzushi mm nilikuwepo watu shazi mbona mnapenda kula hela za nape bure njaa itawaua mwaka huu badala ya kutengeneza barabara na kununua madawati mmekalia cdm mboye slaa kwani na nyinyi ni wapinzani?
 
ina maana jamaa kapigwa mswaki?? au ndio hii move mpya ya kuifanya JF kuwa unreliable source ya info kwa kuleta mafamba?
 
Ingawa zilipigwa 'promosheni' za muda mrefu huko kata ya Iyela jijini Mbeya kuwa kutakuwa na mkutano wa kamanda wa anga, bwana Mbowe..!!

Lakini leo ilikuwa ni aibu kubwa kwa Mbowe kwani alionekana kuhutubia miti huku watu wengi wakionekana kuendelea na shughuli zao kama hakuna kinacho endelea.

Kamanda wa anga kwa kujikaza na aibu hiyo, aliendelea tu kuhutubia miti huku watu wakiwa wachache, pia sura yake haikuwa yenye furaha kabisa kutokana na mwitikio mdogo wa watu kwenye mkutano wake, aidha, ilikuwa ni fedhea kubwa kwa bwana Mbowe.

Baada ya kumaliza kupiga makelele yake jukwaani alielekea ofisi ya kata ya Iyela huku msafara wake ukiwa umetawaliwa na watoto wa shule ya msingi ambao hawakuwa wanajua chochote.

Pole kamanda wa anga.

mwisho wa ubaya ni aibu sasa post kama hiyo lengo lako umfurahishe nani
au hujui kama tanzania wanzako kule vijijini hata huduma za hosptal hawana
 
Back
Top Bottom