Nitamkubali Siro pale atakapotuletea "wasiojulikana" waliompiga Lissu risasi za SMG 30 na pistol 8 kwa sababu "wanajulikana " na kutumwa na serikali kwa malipo ya kodi za Watanzania.
Complex equation.
Wanasiasa wametumia wataalam kutekeleza utaalam in a negative and sad way kisha wanawaficha wataalam hao kwenye siasa.
One day watafahamika tu.