Sawa anayeendesha hilo parody ndiye atakayesema hiyo akaunti ni ya nani.Mtandaoni kumejaa account vinyago, watu wanatumia tu jina lolote kuendesha account
Sawa anayeendesha hilo parody ndiye atakayesema hiyo akaunti ni ya nani.Mtandaoni kumejaa account vinyago, watu wanatumia tu jina lolote kuendesha account
Kaka Stuxnet Mambo yala yanazidi ku EscalateIla kama TCRA wakiamua kumsaka wanampata. Mbona Sukununu wa Twitter walimkamata na kumshitaki
ni vizuri kutahadharishana kwa kuambiana ukweli kwa upendo, na kuchukua hatua dhidi ya tahadhari hizo. Kupuuza, kushupaza shingo au kujipa moyo bila tahadhari, wakati mwingine ni kuweka kwenye hatari zaidiAngalia tweets zake hapa:-
View attachment 3321534
Wanaomtambua watuthibitishie kama huyu ndiye mwenye jina.
View attachment 3321535
Yaonekana ni CCM diehard, hiyo ndiyo picha yake inayoonekana kwenye background ya akaunti yake ya twitter.
View attachment 3321537 Ni mpenzi wa Yanga na aliingia Twitter mwaka 2018
View attachment 3321540
Hilo tishio alitoa juzi Jumanne tarehe 29/04/25
View attachment 3321541
Tishio jingine tarehe 28/04/25
Na kweli yametokea Padri Kitima kashambuliwa usiku wa kuamkia Mei Mosi.

Kitima kashambuliwa!?
Karibu siasani padre![]()
Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya
Hofu kubwa imetanda kufuatia tukio la kuvamiwa na kujeruhiwa kwa Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC) Padri Dkt.Charles Kitima. Kupitia mitandao ya kijamii, imeripotiwa kuwa watu Wasiojulikana walimvamia Dkt Kitima majira ya saa 3 usiku wa April 30, 2025 na...www.jamiiforums.com
Kanisa catholic ni taasisi kubwa sana. Wamejichanganya kugusa VATICAN, kazi wanayo.View attachment 3321581View attachment 3321582
KWA SABABU POLISI WETU NI CCM HAKUNA KITU WATAFANYWA WALA KUHOJIWA !!! HII NCHI INAHITAJI NGUVU YA ZIADA KUTOKA HAPA
Wangeanza na Steve NyerereAngalia tweets zake hapa:-
View attachment 3321534
Wanaomtambua watuthibitishie kama huyu ndiye mwenye jina.
View attachment 3321535
Yaonekana ni CCM diehard, hiyo ndiyo picha yake inayoonekana kwenye background ya akaunti yake ya twitter.
View attachment 3321537 Ni mpenzi wa Yanga na aliingia Twitter mwaka 2018
View attachment 3321540
Hilo tishio alitoa juzi Jumanne tarehe 29/04/25
View attachment 3321541
Tishio jingine tarehe 28/04/25
Na kweli yametokea Padri Kitima kashambuliwa usiku wa kuamkia Mei Mosi.
Hawataishia kupiga Catholic na Vatican.Kanisa catholic ni taasisi kubwa sana. Wamejichanganya kugusa VATICAN, kazi wanayo.
Wanataka kujenga hoja kuwa alikuwa amelewaKwa nini wamesema akiendelea kupata kinywaji??
Nimeshangaa sanaKwa nini wamesema akiendelea kupata kinywaji??
Polisi ni wahusika wakuu, hawawezi kumkamatanaAngalia tweets zake hapa:-
View attachment 3321534
Wanaomtambua watuthibitishie kama huyu ndiye mwenye jina.
View attachment 3321535
Yaonekana ni CCM diehard, hiyo ndiyo picha yake inayoonekana kwenye background ya akaunti yake ya twitter.
View attachment 3321537 Ni mpenzi wa Yanga na aliingia Twitter mwaka 2018
View attachment 3321540
Hilo tishio alitoa juzi Jumanne tarehe 29/04/25
View attachment 3321541
Tishio jingine tarehe 28/04/25
Na kweli yametokea Padri Kitima kashambuliwa usiku wa kuamkia Mei Mosi.
Mbwembwe tu,atibu majeraha, November apige makofi wakati samia akiapishwaKanisa catholic ni taasisi kubwa sana. Wamejichanganya kugusa VATICAN, kazi wanayo.
Kunawatu wana haribu mambo makusudi.