Kamanda Muliro: Sisi hatubishani Kwa Maneno Taasisi ya Jeshi imeshatoa Msimamo na tumeimarisha Ulinzi hadi kwenye Kata!

Kamanda Muliro: Sisi hatubishani Kwa Maneno Taasisi ya Jeshi imeshatoa Msimamo na tumeimarisha Ulinzi hadi kwenye Kata!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Kamanda Muliro amesema Wananchi wamefurahia kuimarishwa kwa Ulinzi na wamekuwa wakipiga simu za pongezi

Muliro amesema Ulinzi huu hautokani na Chadema Kutangaza Maandamano bali ni katika Jitihada za Jeshi kufikisha Ulinzi hadi level ya Kata

Kamanda Muliro amesisitiza Maandamano ya Chadema yamepigwa Marufuku hivyo Jeshi litaendelea kuwalinda raia Wema Waendeleze Shughuli zao kama kawaida

Kama wewe siyo muhalifu huna sababu ya kuwaogopa Polisi unaowaona huko mitaani, amemalizia Kamanda Muliro

Source: Mwananchi
 

Attachments

  • Screenshot_20240921-120710.jpg
    Screenshot_20240921-120710.jpg
    188.5 KB · Views: 13
Kamanda Muliro amesema Wananchi wamefurahia kuimarishwa kwa Ulinzi na wamekuwa wakipiga simu za pongezi

Muliro amesema Ulinzi huu hautokani na Chadema Kutangaza Maandamano bali ni katika Jitihada za Jeshi kufikisha Ulinzi hadi level ya Kata

Kamanda Muliro amesisitiza Maandamano ya Chadema yamepigwa Marufuku hivyo Jeshi litaendelea kuwalinda raia Wema Waendeleze Shughuli zao kama kawaida

Kama wewe siyo muhalifu huna sababu ya kuwaogopa Polisi unaowaona huko mitaani, amemalizia Kamanda Muliro

Source: Mwananchi
Hii ni nzuri sana...Mbowe tunaomba utangaze maandamano mwezi mzima uone Polisi wasiporudi vituoni kwa kukosa mafuta ya kuzurura na polisi kukosekana vituoni kwa ajili ya huduma kwa jamii.
 
Kamanda Muliro amesema Wananchi wamefurahia kuimarishwa kwa Ulinzi na wamekuwa wakipiga simu za pongezi

Muliro amesema Ulinzi huu hautokani na Chadema Kutangaza Maandamano bali ni katika Jitihada za Jeshi kufikisha Ulinzi hadi level ya Kata

Kamanda Muliro amesisitiza Maandamano ya Chadema yamepigwa Marufuku hivyo Jeshi litaendelea kuwalinda raia Wema Waendeleze Shughuli zao kama kawaida

Kama wewe siyo muhalifu huna sababu ya kuwaogopa Polisi unaowaona huko mitaani, amemalizia Kamanda Muliro

Source: Mwananchi
Huko mikoani wameacha "vacuum"..
Askar wengi sana wameletwa dar!
Maandamano yakiwa organised nchi nzima, hawa mapoti hawatatosha kizuia, huu ukiritimba unatengeneza usugu!
 
Kamanda Muliro amesema Wananchi wamefurahia kuimarishwa kwa Ulinzi na wamekuwa wakipiga simu za pongezi

Muliro amesema Ulinzi huu hautokani na Chadema Kutangaza Maandamano bali ni katika Jitihada za Jeshi kufikisha Ulinzi hadi level ya Kata

Kamanda Muliro amesisitiza Maandamano ya Chadema yamepigwa Marufuku hivyo Jeshi litaendelea kuwalinda raia Wema Waendeleze Shughuli zao kama kawaida

Kama wewe siyo muhalifu huna sababu ya kuwaogopa Polisi unaowaona huko mitaani, amemalizia Kamanda Muliro

Source: Mwananchi
Pongezi kubwa sana kwa polisi
 
Back
Top Bottom