Kamanda Muliro: Sisi hatubishani Kwa Maneno Taasisi ya Jeshi imeshatoa Msimamo na tumeimarisha Ulinzi hadi kwenye Kata!

Kamanda Muliro: Sisi hatubishani Kwa Maneno Taasisi ya Jeshi imeshatoa Msimamo na tumeimarisha Ulinzi hadi kwenye Kata!

Huko mikoani wameacha "vacuum"..
Askar wengi sana wameletwa dar!
Maandamano yakiwa organised nchi nzima, hawa mapoti hawatatosha kizuia, huu ukiritimba unatengeneza usugu!
Mjinga wewe vacuum wapi kwani JWTZ hawapo huko mikoani?
 
Hapo shida Nini Sasa? Anakuwa kastaafu Kawa raia wa kawaida unatakaje?
Jeshi la akiba.

Marehemu Ali Kibao alistaafu na alitumika CCM hawakumgusa, lakini alipohamia CHADEMA wakamuua
 
vijana watanzania waoga na wanafk ***** ...utawala wa ccm hauna tija yeyote kwa vijana ,hayo mazee yalokaaa madarakani miaka 60 ..wanapaswa kukutana na Gn Z
 
Mbona juzijuzi waluandamana kila mahali na hawakupigwa marifuku. Maandamano ya sasa yana shida gani? Si polisi wawape ulinzi tu? Tena polisi ingejisafisha kuwa wao hawahusiki na utekaji na wangeomba raia watoe ushirikiano kuwabaini watekaji. Mbona ingekuwa power? Kutunishiana misuli mbona haisaidii kitu?
Shida ni pale wanaposema Samia must go
 
Back
Top Bottom