Kuzungumzia utekaji inahusiana nini na chademaKama umeamua kuwa mpinzani usiwategemee wafuasi wa Chadema.
Walimsifu Gwajima jasiri sasa ana jihangaikia mwenyewe wao wamehamia kwenye episode ya Iran vs Israel.
Nchi ipo autopilot🥹Nchi hii hatuna viongozi kwa sasa.
....Kuzungumzia utekaji inahusiana nini na chadema
Muambieni Muliro aache kabisa kuingilia masuala ya kanisa. Anathema na moto. Kwanza yeye ni Jumanne kwakuwa hamjui Mungu wa Israeli basi atakuja kushtuja it is too late.Kamanda Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Muliro Jumanne Muliro akiwa nje ya kanisa la Ufufuo na Uzima (Glory Of Christ Tanzania Church).
Pia, Soma
Source: Jambo Tv
NERNE-2025Haya ni matumizi mabaya ya kodi zetu!
No Reforms No Election 🔥
🤣🤣🤣🤣Wanatengeneza movie...
🤣🤣Welcome to Tanzania where condoms protect us more than Police Officers!!!
Kuna rafiki yangu aliniambia Askari polisi hawana mapumziko ya kazi wao kila siku kazini tu kweli nimeamini, yani Kamanda mkuu wa Polisi Kanda yani hakuna kulumzikia Wikiendi.Nchi hii hatuna viongozi kwa sasa.
Safi sana🐼
Sauli akiwa njiani kuelekea Damascus ndio akasikia Sauti kutoka Juu mbinguni
Akatubu na kubatizwa na kuitwa Paulo