mwangalizi
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 842
- 512
Ni dhahiri kuwa kamanda Mbowe amezidiwa kete na "mheshimiwa", mpaka sasa hajatambua kuwa huu mchezo kwa sasa haufuati kanuni wala sheria yoyote. Kabaki na "hekima" mahali pasipohitaji hekima, matokeo kabaki kuambulia ngumu za machoni na puani kwa sana.
Ni wazi kuwa FOBIA ya mheshimiwa ni chadema pekee. Kwa wale wenye fobia ya nyoka mtafahamu kuwa nyoka akiingia ndani hutalala hadi umponde ponde. Mbowe yupo hoi, haelewi chochote, kabaki na kanuni zake za kukariri, ambazo hazifanyi kazi tena. Nadhani ni muda wake wa kuamka usingizini kisha kujipima na ataona kuwa hafai tena kuongoza lichama na hivyo kuwaachia wengine.
Nawasilisha kwenu wachambuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wazi kuwa FOBIA ya mheshimiwa ni chadema pekee. Kwa wale wenye fobia ya nyoka mtafahamu kuwa nyoka akiingia ndani hutalala hadi umponde ponde. Mbowe yupo hoi, haelewi chochote, kabaki na kanuni zake za kukariri, ambazo hazifanyi kazi tena. Nadhani ni muda wake wa kuamka usingizini kisha kujipima na ataona kuwa hafai tena kuongoza lichama na hivyo kuwaachia wengine.
Nawasilisha kwenu wachambuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app