Sio Mwanasiasa
Senior Member
- Mar 4, 2011
- 115
- 13
ha ha haaa..humu kuna mambo..sasa hapa njama zimetoka wapi?.unapenda ttzo lako unapenda kusikia yale tu unayoyapendaHuu uchonganishi sasa. Njama zako tumezitambua.
ha ha haaa..humu kuna mambo..sasa hapa njama zimetoka wapi?.unapenda ttzo lako unapenda kusikia yale tu unayoyapendaHuu uchonganishi sasa. Njama zako tumezitambua.
Na mimi naongeza kati ya Sheikh Yahya na Sheikh Msanii Kikwete nani zaidi?
kwann?Uchonganishi!
Freeman ni Kijana kuliko Slaa lakini Ameoa na ana Watoto anawalea Vizuri sana na Anampenda sana Mke wake na Familia yake, lakini Slaa sijui Ana Matatizo gani, amezeeka lakini Hajaoa, na Issue zake zinajulikana. Aidha Freeman ni mjanja Zaidi, alipoona Slaa anawika Sana Bungeni, aliacha kugombea Urais (aliona Ngoma ni Nzito) akamtoa Slaa Bungeni akamshakizia Kwenye Urais huku akijua hatashinda Bali Ataongeza kura ili Chama kipate Ruzuku zaidi, Kisha yeye Mjanja akaingia Bungeni ili Akawike zaidi Kama alivyokuwa Slaa! Sasa angalieni 2015 Kama hatasimama yeye Kugombea Urais! Mtanambbia, Jamani Mchagga Sio Mchezo!
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha
Freeman ni Kijana kuliko Slaa lakini Ameoa na ana Watoto anawalea Vizuri sana na Anampenda sana Mke wake na Familia yake, lakini Slaa sijui Ana Matatizo gani, amezeeka lakini Hajaoa, na Issue zake zinajulikana. Aidha Freeman ni mjanja Zaidi, alipoona Slaa anawika Sana Bungeni, aliacha kugombea Urais (aliona Ngoma ni Nzito) akamtoa Slaa Bungeni akamshakizia Kwenye Urais huku akijua hatashinda Bali Ataongeza kura ili Chama kipate Ruzuku zaidi, Kisha yeye Mjanja akaingia Bungeni ili Akawike zaidi Kama alivyokuwa Slaa! Sasa angalieni 2015 Kama hatasimama yeye Kugombea Urais! Mtanambbia, Jamani Mchagga Sio Mchezo!
tatizo kupata blaza!Buhry2010, swala la mbowe kugombea 2015 halina ubushi na ukitaka kuja ukweli ingia site ya kijana Mnyika. Katika kila maelezo anayotoa lazima aandike Mbowe 2015 yawezekana.
that question applies only to CCM