Kamanda MBOWE Vs Dr SLAA

Status
Not open for further replies.

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?

Nawasilisha
 
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?

Nawasilisha

jadili sasa!!!!
 
sasa utacompare vp watu au vitu visivyoshabihiana hao uliotelea mfano wana similar kazi so unaweza linganisha lkn hawa wewe unaotaka mmoja katibu mwenzake m/kiti kila mtu ana kazi yake anayoperfom na haziko sawa na mwenzako we unataka tulinganishe nini ukubwa wa u*** au?
 
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?

Nawasilisha

that question applies only to CCM
 
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?

Nawasilisha

Dr Slaa zaidi.
 
sasa utacompare vp watu au vitu visivyoshabihiana hao uliotelea mfano wana similar kazi so unaweza linganisha lkn hawa wewe unaotaka mmoja katibu mwenzake m/kiti kila mtu ana kazi yake anayoperfom na haziko sawa na mwenzako we unataka tulinganishe nini ukubwa wa u*** au?

Umesomea wapi wewe! Unaweza kuniruhusu nihoja IQ yako? Jamani kwani ni lazima ulinganishe official functions zao. You can compare even their behaviour, pia hata style yao ya maisha. Mfano, mmoja ni DJ na mwingine ni Padre. Mmoja ana kashfa"wachumba 30" na mwingine ana sifa ya kukopa na kukataa kulipa. Vipi wewe useme huwezi kukompea?
 
Umesomea wapi wewe! Unaweza kuniruhusu nihoja IQ yako? Jamani kwani ni lazima ulinganishe official functions zao. You can compare even their behaviour, pia hata style yao ya maisha. Mfano, mmoja ni DJ na mwingine ni Padre. Mmoja ana kashfa"wachumba 30" na mwingine ana sifa ya kukopa na kukataa kulipa. Vipi wewe useme huwezi kukompea?

u must be in the toilet, this is the thinking of somebody who is smelling f......s
 
Mbowe ni Mwenyekiti wa taifa wa Chama.

Dr Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama.

Wote wako juu, na wote wawili na majembe, kila mmoja na majukumu yake.

Vp Kuh Kikwete na Makamba? Je kuna yeyote aliye bora kati yao? Au hakuna??
 
that question applies only to CCM

Hata wewe bingwa wa kulinganisha hili limekupa kero? kwa ujumla hii dhana ya kulinganisha inapotoshwa kwa sababu hakuna kabisa uwiano unaoweza kuwafanya watu watoe ulinganifu au tofauti zao. Sasa hapa analinganishwa mwenyekiti wa chama na katibu wake sijui kwa lipi, umri, utajiri, wajihi, afya zao au ni kitu gani?
 
....they are similar in different ways and different in similar ways! judge yourself and keep the answer to yourself also!
 
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?

Nawasilisha

wote ni wapenda vurugu na waroho wa madaraka
 
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?

Nawasilisha

Na mimi naongeza kati ya Sheikh Yahya na Sheikh Msanii Kikwete nani zaidi?
 
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?

Nawasilisha

Kwa lipi?
 
Freeman ni Kijana kuliko Slaa lakini Ameoa na ana Watoto anawalea Vizuri sana na Anampenda sana Mke wake na Familia yake, lakini Slaa sijui Ana Matatizo gani, amezeeka lakini Hajaoa, na Issue zake zinajulikana. Aidha Freeman ni mjanja Zaidi, alipoona Slaa anawika Sana Bungeni, aliacha kugombea Urais (aliona Ngoma ni Nzito) akamtoa Slaa Bungeni akamshakizia Kwenye Urais huku akijua hatashinda Bali Ataongeza kura ili Chama kipate Ruzuku zaidi, Kisha yeye Mjanja akaingia Bungeni ili Akawike zaidi Kama alivyokuwa Slaa! Sasa angalieni 2015 Kama hatasimama yeye Kugombea Urais! Mtanambbia, Jamani Mchagga Sio Mchezo!
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom