Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha
sasa utacompare vp watu au vitu visivyoshabihiana hao uliotelea mfano wana similar kazi so unaweza linganisha lkn hawa wewe unaotaka mmoja katibu mwenzake m/kiti kila mtu ana kazi yake anayoperfom na haziko sawa na mwenzako we unataka tulinganishe nini ukubwa wa u*** au?
Umesomea wapi wewe! Unaweza kuniruhusu nihoja IQ yako? Jamani kwani ni lazima ulinganishe official functions zao. You can compare even their behaviour, pia hata style yao ya maisha. Mfano, mmoja ni DJ na mwingine ni Padre. Mmoja ana kashfa"wachumba 30" na mwingine ana sifa ya kukopa na kukataa kulipa. Vipi wewe useme huwezi kukompea?
that question applies only to CCM
They are all the same!....power hungry....they are similar in different ways and different in similar ways! judge yourself and keep the answer to yourself also!
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha