yule mtoto wa Mengi jee ni polisi hao hao,Kule Songea polisi waua kama al-shabaab, Arusha polisi waliua kama Boko haram...pia nimesikia kuna polisi katinga disco na silaha,cjui ni polisi yupi anayemaanisha
Watashindana nasi lakini hawatashinda- A. Lusekelo. Jeuri ya kobe ni majini na jeuri ya magamba ni penye misikiti mingi! sasa huku Arumeru wameshikwa pabaya sana.
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Kwani mwakyemebe hakuwa na ulizi wa polisi na kama hakuwa na ulinzi kwanini ili hali alisha toa taarifa ya kutaka kuumwa na Al shabab wa CCM.....leo unataka lema atumie njia alizotumia mwakyembe...
Watashindana nasi lakini hawatashinda- A. Lusekelo. Jeuri ya kobe ni majini na jeuri ya magamba ni penye misikiti mingi! sasa huku Arumeru wameshikwa pabaya sana.
Kama ni Arusha mjini atapigwa mawe mbaya kabisa sina uhakika na Arumeru lakini kama ukisema Arumeru ( USA-river) pale hakuna tofauti ya Arusha mjini.....
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.