Kamanda Lema ndani ya Arumeru


Dots connected!
 

Nadhani hapo Tendwa amesikia
 

Mkuu wangu umemaliza kila kitu siongezi neno
 
hapana : nyie tumieni dola sisi tunatumia umma, bila kuwapigia hii staili mtatunyanyasa na mabomu yenu sasa twendeni kazi. Mnadola, usalama wa taifa, chadema tuna nguvu ya umma. Msitulaumu mlaumuni Tendwa mliyemtuma.

Jukumu la kwanza la ULINZI WA RAIA NA MALI ZAO upo mikononi mwa mwananchi wenyewe, na si POLISI. Kwa hiyo hao MORANI watakuwa wanatimiza wajibu wao wa kikatiba
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.

Polisi ipi sasa unayoizungumzia wewe?
 
kamanda lema analindwa na mungu,moran niwasaidizi2 police wa magamba niwauwaji hatutaki ulinzi wao,eti mpaka waombwe ulinzi kwani hawakumsikia tendwa akimtishia maisha lema?na lema akifa tendwa tendwa tendwa!!unajua nguvu yauma kweli?police mkamaten tendwa msione tuko kimya tunayajua yoote
 

Kwa hakika hapa Tendwa alipaswa kukatwa na polisi kama shahidi muhimu kwenye tuhuma za kutaka kumuua Lema.
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Aise, we upo Tanzania ya wapi? Mwakyembe naye hivi si aliwahi kuomba ulinzi kwa mjomba wako na yaliyomkuta ndo hayo tunayo yaona; also kama polisi kweli wanafanya kazi ya upolisi walitakiwa haraka sana waende kwa bwana Tendwa na kumwomba hao wazee waliompa taarifa za kuua then wachukue hatua (Dogo kwani we si ni mwanasheria na hili unalijua)

Kwasababu polisi inafanya kazi za chama chenu wasiokua wana chama wenu inawabidi watafute namna ya kujilinda wenyewe au wazalendo wawalinde wazalendo wenzao.
 

Mzee nimekubali. Unajua hii habari sikuifuatilia kumbe ina madhara makubwa sana. Sasa nani alimtuma Tendwa kuyasema yote hayo hata kama Washiri walisema haikuwa Busara yeye kuyasema.
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.

Polisi wepi, hawa walioua wananchi januari 5?
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.

Kama mnajua kuna ulinzi wa polisi, kile kikosi chenu cha Green Guard kazi yake nini?
 
Tendwa alijua MERU ni IGUNGA ngoja aonyeshwe nguvu ya umma wa kimeru ikoje.
 
Mzee nimekubali. Unajua hii habari sikuifuatilia kumbe ina madhara makubwa sana. Sasa nani alimtuma Tendwa kuyasema yote hayo hata kama Washiri walisema haikuwa Busara yeye kuyasema.

Mkuu wangu tupo pamoja sana!
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Polisi gani unaowasema? Hawahawa waliomwacha Tendwa anadunda badala ya kumkamata asaidie polisi kumpata huyo aliyetamka jinai?
 
ninachokumbuka mrema alifanya juhudi kubwa sana kumaliza ule mgogoro wa kidini hivyo ni rai yetu kwa polisi kutumia busara kumaliza hili
 
Kuna Kiongozi fulani wa siasa hakukosea na kusema huyu John Tendwa cheo alichopewa ni sawa na TARISHI/KARANI TU!
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Mwakyembe aliomba ulinzi wao miezi Tisa kabla hajawekewa Polonium 210 na matokeo yake umeyaona. Kumbe wao ndo wanaoshirikiana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…