Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,983
Binafsi NINASHUKURU kwa kamanda LEMA kuja kututembelea DAR kwani TULIMKUMBUKA ingawa najiuliza maswali kadhaa:
1:NIA na MADHUMUNI ya kuja Dar
-PAMOJA na sisi WANA NCHI ambao Tume mmiss kamanda wetu ni vyema atakapo kuja aje kutueleza NIA na MADHUMUNI ya MAAMUZI MAGUMU ambayo VIONGOZI wa CHADEMA waliya chukua BILA KUJALI WANACHAMA TUNAJISIKIAJE WAKATI HUO na TUTAJISIKIAJE BAADA YA MAAMUZI YAO!!
-Otherwise,namtakia KAMANDA huyu wa WANA NCHI safari njema na MUNGU amlinde hadi pale Atakapofika Dar na KUJIBU MASWALI HAYO!!
1:NIA na MADHUMUNI ya kuja Dar
-PAMOJA na sisi WANA NCHI ambao Tume mmiss kamanda wetu ni vyema atakapo kuja aje kutueleza NIA na MADHUMUNI ya MAAMUZI MAGUMU ambayo VIONGOZI wa CHADEMA waliya chukua BILA KUJALI WANACHAMA TUNAJISIKIAJE WAKATI HUO na TUTAJISIKIAJE BAADA YA MAAMUZI YAO!!
-Otherwise,namtakia KAMANDA huyu wa WANA NCHI safari njema na MUNGU amlinde hadi pale Atakapofika Dar na KUJIBU MASWALI HAYO!!