Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,901
- 28,013
bwashee taratibu leo Pasaka. Msamehe bure. Elyo tondo lya warumu
kite warumu kabisa huyo.
bwashee taratibu leo Pasaka. Msamehe bure. Elyo tondo lya warumu
Lema? Lema? Lema huyu si mchaga huyu? huku Dar hatuwafagilii wachaga ni wabaguzi hawa hawafai kupewa nchi
timid of minds,huku mwanza ndio wanao run rock city na wenyeji wanawakubali sana kwani wana uthubutu na ni creativity wazuri sana.usibishane na ukweli,utakua unajipotezea nafasi ya kuongeza siku za kuishi duniani na afya vilevile.piga hesabu wafanya biashara wakubwa kariakoo ni kabila gani,majumba ya mbezi na masaki,maisha bora kwa ujumla then calculate alafu usitupe jibu.
we kweli mchagga,naona umepiga ile ya kiswahili ya nyumbani kabisa "kisaa" badala ya kichaa!
Maoni yangu, Lema awe katibu muenezi apambane na Nape majimboni na Dr. Slaa aje agombee Arusha
Lema aongoze maandamano na mapambano yote because Mnyika yupo busy
Mbona wewe unatoa thread chafu? Naona wewe unatakiwa urudishwe fb huko ndiko thread ya size yako,lakini huku umedandia tuuu!!!Hivi ameacha mchezo waliomfundisha kule mahabusu au?maana nasikia ukishaanza ile huachi,mlio karibu nae hebu mchungezeni kimya kimya nyendo zake then mtumwagie info hapa kama kawaida yetu jf tuwe wa kwanza kujua
Hivi ameacha mchezo waliomfundisha kule mahabusu au?maana nasikia ukishaanza ile huachi,mlio karibu nae hebu mchungezeni kimya kimya nyendo zake then mtumwagie info hapa kama kawaida yetu jf tuwe wa kwanza kujua
Lema? Lema? Lema huyu si mchaga huyu? huku Dar hatuwafagilii wachaga ni wabaguzi hawa hawafai kupewa nchi
Duh!!!!!!!kweli wewe akili yako ipo kwenye gear ya nyuma,huna tofauti na mkia wa mbuzi ambao hauwezi hata kufukuza nzi.
we kweli mchagga,naona umepiga ile ya kiswahili ya nyumbani kabisa "kisaa" badala ya kichaa!
Lema? Lema? Lema huyu si mchaga huyu? huku Dar hatuwafagilii wachaga ni wabaguzi hawa hawafai kupewa nchi
Hivi ameacha mchezo waliomfundisha kule mahabusu au?maana nasikia ukishaanza ile huachi,mlio karibu nae hebu mchungezeni kimya kimya nyendo zake then mtumwagie info hapa kama kawaida yetu jf tuwe wa kwanza kujua
Sie kina mangi tunajua maana yake hiyo...hajakosea...ni kisaa!
Mchukue Lucinde akamchungulie Babako na Mamako
wewe ndio umekosea,kisaa ina maana kubwa sana kichaga na sio kwamba alitaka kusema kichaa kamanda wangu.
Pumbavu upo kwenye mchezo mchafu ww pumbav unaleta maj taka hapa tena pumbav hujui siasa w
Kwa hiyo mnataka kugeuza hiki kijiwe cha mbege........?
kwa sababu sio mchagga mwenzenu au?Mbona wewe unatoa thread chafu? Naona wewe unatakiwa urudishwe fb huko ndiko thread ya size yako,lakini huku umedandia tuuu!!!
kwanini chadema mkikumbushwa alichofanywa jamaa mahabusu mnakuwa wakali sana,why?
Ndio dawa itakayomsaidia huyo mwizi wa magari mstaafu aache ako kamchezo au?