Kamanda John Mhozya tumaini jipya Kibaha

Kamanda John Mhozya tumaini jipya Kibaha

I can bet this is the right candidate for the Kibaha Constituent. Forget about the "masalia virus" from Kibaha. John Muhozya he is my fellow lecturer at UDSM and a close friend of mine
 
leo ndio leo viwanja vya stend ya mzenga mlandizi makamanda wa cdm watamwaga sera kuanzia saa 9 alasiri. kwa mara ya kwanza kamanda john mhozya atapanda jukwaa la nyumbani.
 
Kijana JOHN MHOZYA ni kijana makini. Nilimfahamu kijana huyu tangu mwaka 2000 tukiwa tunasoma wote pale Tabora Shule ya Wavulana (Tabora Boys' Sec School) yeye akiwa anachukua HGL (History, Geograpy and Language) nami nikiwa nachukua PCM.
Ni kijana makini, mpambanaji na anayesimamia Ukweli daima pasipo kuogopa vitisho.

Alisimamia maswala mengi ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa Bomba la Maji kutokea National Housing baada ya kubaini kuwa Wanafunzi tulikuwa tunatumia muda mwingi kwenda kutafuta maji kule "TUKUTUKU' kwenye visima badala ya kujisomea.

Muungeni mkono muone alivyo na mtazamo wa maendeleo..

Peoplezzzzzzzzzzzzzzzzz Power!11
 
Safi saana, ila ni kama Kubenea anataka kugombea Kibaha, je wadau ni jimbo hilo hilo au yapo tofaut?
 
leo ndio leo viwanja vya stend ya mzenga mlandizi makamanda wa cdm watamwaga sera kuanzia saa 9 alasiri. kwa mara ya kwanza kamanda john mhozya atapanda jukwaa la nyumbani.

Sasa hapo Dedam mnafanya makosa ya kiufundi kumpeleka jimbo la Kibaha vijijini, Jimbo rahisi kushinda kwa msomi kama huyo ni Kibaha ambalo mkubali msikubali Mh Koka na Makamba walilinunua kutoka kwa masalia "Mchambe" jimbo hili la Kibaha ndio jimbo rahisi kwani linajumuisha waelewa, wasomi (Tumbi Hospital,Mkoani, Wilayani, Nyumbu TATC etc), pia linawenyeji wengi waliokata tamaa na kuchoka na kudanganywa mambo mengi tu, halafu jimbo hilo lina mtaji mwingine wa wanafunzi wengi tu wa Kibaha Secondary, Tumbi Secondary, Nyumbu Secondary,Visiga Secondary Kongowe Secondary & VETA..ukija kumalizia na walimu wao walivyo na usongo na Serikali inayowakopa pesa zao, kuwadanganya na kuwatisha nyau kama wao ni watoto wa shule ya msingi mbona jamaa yetu huyu anachukua jimbo kiulaini tu, jipangeni vizuri mkiwa na makamanda wa ukweli ...
 
Back
Top Bottom