Katikati ni Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare
Mbunge wa Viti Maalumu ambaye pia ni katibu wa mkoa, Mama Concesta Rwamlaza akiongea na maelfu ya wananchi waliojitokeza katika Mkutano wa BAWACHA jana Mjini Bukoba
Mwenyekiti Bawacha Mhe. Halima Mdee akikabidhiwa zawadi kutoka kwa Wanawake wa Chadema Kata ya Hamugembe Mjini Bukoba.
Sehemu ya wanachi wa Manispaa ya Mji Bukoba waliojitokeza katika Mkutano wa hadhara wa Viongozi wa BAWACHA uliofanyika jana jioni ya Oktoba 29 Katika Uwanja wa Uhuru Mjini Bukoba mkoani Kagera.
Agenda kuu katika mkutano huo ni:
i) Kuwahamasiha wanawake kujiandikisha katika daftari la kudumu la kupiga kura
(BVR)
ii) Kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa
iii) Kuwaelimisha na kuwa na mtazamo sahihi wa katiba mpya ijayo
iv) Kuwahamasisha kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015
v) Kubaini na kuwatia shime wagombea wanawake makini katika nafasi mbalimbali
kwenye chaguzi hizi
PICHA ZOTE NI KWA HISANI YA BUKOBA WADAU
wanamsimika nani kama mbunge bukoba mjini? maana bk imedorola kwa ugomvi wa watu wawili!
Ndio mulivyojipanga na wachina wenu muonyeni mwenyekiti wenu ataisia mitaroni na kuchomekwa majiti watanzania sio wale wa kaleHuyu mama atachika mwenyewe! Watoto mtawapata halafu uchaguzi 2015 CCM ushindi 71 na UKAWA 29. Amini ama usiamini hayo ndo matokeo yenu.
Njia zenu zote za kajambazi tunazijuaHISTORIA YA KURA ZA URAIS TANZANIA 1995 - 2010
Mwaka 1995 jumla ya kura za wapinzani zilikuwa 2,486,323, sawa na asilimia 38.17. Uchaguzi uliofuata wa mwaka 2000 wapinzani walipata jumla ya kura 2,309,123, sawa na asilimia 28.26 na kupungua zaidi mwaka 2005 walipopata kura 2,241,525 (sawa na asilimia 19.72. Mwaka 2010, upinzani ulipata kura 3,121,136. Ingawa kwa asilimia, kura hizo zilikuwa asilimia 37.16 pungufu ya asilimia za uchaguzi wa 1995, idadi ya kura za wapinzani ilikuwa kubwa kwa tofauti ya zaidi ya kura 700,000.
Kwa trend hiyo mwaka 2015 upinzani watashuka tena kwa takribani asilimia 13 au 11 kutokana na vurugu zilizosheheni katika chama cha Chadema na CUF. Zitto Kabwe na kundi lake na Hamad Rashid na kundile wote hawa watasababisha negative performance ktk matokeo ya ubunge na urais.
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA! KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Hivi kule Bukoba,ofisi za CHADEMA mkoa wa kagera zipo sehemu gani? ndugu RWAMAIGI nasikia hawana ofisi wanakutana bar ni kweli?
Njia zenu zote za kajambazi tunazijua