komrade
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 207
- 261
Kwa hiyo tukubaliane na mtazamo wako kwamba panga ni mapambo.Aliyekufundisha kuwa panga ni silaha,inakubidi umlaani sana,au ni mfumo duni wa elimi uliopo unakupelekea kuamini kwamba panga ni silaha.
Nakushauri, wahi Milembe