Nimepata maono ya kiuhakika kabisa ni pale kamanda mmoja wa jeshi la polisi alipowaeleza wananchi kuwa inakuwaje mtu unalala nyumbani kwako unakosa hata panga.
Sasa nafahamu alishanusa harufu mbaya na kwamba sasa ni wakati wa ubaya ubaya kufa au kupona kila mtu ajilinde kivyake,akimaanisha tusitegemee polisi kivile.
Baada ya tafakari naona ile kauli ya mtu mzima dawa au mzee dawa, kamanda hakukosea kabisa, kwa cheo alicho nacho hawezi kutamka open kuwa kuna mbinu za watu kuvamiwa usiku au mchana ,mnatakiwa wananchi mkuu anapotoa kauli tata basi fikirieni mara mbili mbili,inakuwaje Mkuu anatoa kauli ya watu walale na silaha?
Wananchi ni bora ujumbe wa kamanda huyu ukawaingia Watanzania wote na kumuelewa kwa kina na anaposema nimebaini huwa anatoa ujumbe usiomoja kwa moja unaweza kusoma kwenye macho yake ,kuwa anaashiria jambo.
Sasa hata nikipata bomu nitalala nalo majambazi lazima mtu afe nao ,wanagonga na kuondoka na magunia ya karafuu saa nane za usiku askari gani hao ?Kama ningekuwa na guruneti mtu anaondoka nao kihamza tu.
Sasa nafahamu alishanusa harufu mbaya na kwamba sasa ni wakati wa ubaya ubaya kufa au kupona kila mtu ajilinde kivyake,akimaanisha tusitegemee polisi kivile.
Baada ya tafakari naona ile kauli ya mtu mzima dawa au mzee dawa, kamanda hakukosea kabisa, kwa cheo alicho nacho hawezi kutamka open kuwa kuna mbinu za watu kuvamiwa usiku au mchana ,mnatakiwa wananchi mkuu anapotoa kauli tata basi fikirieni mara mbili mbili,inakuwaje Mkuu anatoa kauli ya watu walale na silaha?
Wananchi ni bora ujumbe wa kamanda huyu ukawaingia Watanzania wote na kumuelewa kwa kina na anaposema nimebaini huwa anatoa ujumbe usiomoja kwa moja unaweza kusoma kwenye macho yake ,kuwa anaashiria jambo.
Sasa hata nikipata bomu nitalala nalo majambazi lazima mtu afe nao ,wanagonga na kuondoka na magunia ya karafuu saa nane za usiku askari gani hao ?Kama ningekuwa na guruneti mtu anaondoka nao kihamza tu.