Kama zamani ...

nziriye

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
1,050
361
Nimecheka hadi basi ,leo asubuhi nimepishana na kijana kavaa kama enzi zetu zile miaka ile arobaini na saba ,kafuga afro,kavaa raizoni,bwanngwa..vp unakumbuka mavazi yako ya zamani au ushayachoma moto?
 
Back
Top Bottom