Happy Easter Everyone... Nachukua nafasi hii, Kuazimisha kufufuka kwa Yesu, Kuwakumbusha Viongozi wetu wanaojipenda wenyewe Bila Kujali Hali Halisi ya maisha ya Mtanzania kwamba , Dalili za Watanzania kufufuka kutoka Uonevu zinaonekana, Platform mbalimbali kama Jamiiforums zinazidi kuuithibitisha unabii huu na kwamba Hakuto Mbali kufufuka.
Ole wenu Viongozi mnaotaka muone alama za mikono kama tomaso , Mwisho wenu hauko mbali.
Mwisho Kama Yesu alikishinda Kifo, Watanzania tutaushinda umasikini na Ufisadi
Ole wenu Viongozi mnaotaka muone alama za mikono kama tomaso , Mwisho wenu hauko mbali.
Mwisho Kama Yesu alikishinda Kifo, Watanzania tutaushinda umasikini na Ufisadi