John champhene
Member
- Mar 16, 2013
- 31
- 4
Shekhe alikuwa anakatiza mtaan,Punde akamwona mtoto mdogo yupo getin ameshindwa kubonyeza shwich ya kengele.Shekh kwa uruma ikabidi ambebe yule mtoto akabonyeza kengele.baada ya hapo akamwuliza mtoto je,kuna lingine nikusaidie.Mtoto akamwambia shekhe tukimbie wenyewe wakuja asa hivi.