Kama Wewe Nikijana Na Unandoto Zakutoboa Pita Na Hii...!!!

Michael Richard

Senior Member
Mar 29, 2023
166
491
Habari wakuu,

Leo nimewaletea mchongo wingine. Nafikiri kila mmoja anafahamu smart watch nini?

Kama haufahamu smart watch nisaa ya mkononi inayotumika kama kisaidizi cha Simu ya mkononi. Hutumika kupiga simu, kuchati online na kawaida, video call n.k

Kwasasa hizi smart watch zina soko sana hapa Tanzania kutokana nakuwarahisishia watumiaji kufanya mambo mengi bila ya simu, pia hutumika kama urembo vijana wengi hupenda kama usharobaro.

Baada yakugundua nidili sana kwa kufanya research hapa Tanzania na ni watu wachache wanaziuza nawauza kwa bei ya juu Sana na mimi kama kawaida yangu nikaingia kwenye masoko ya jumla kutafuta bidhaa hii.

Masoko hayo ya jumla ambayo ni Alibaba na 1688. Nikakuta bidhaa hii inauzwa elfu kumi na mbili za Kitanzania, baada ya kugundua bei hii nakukubaliana na supply wangu. nikaandaa bajeti. Bajeti yangu ilikuwa hivi.

Mtaji ulikuwa milioni moja 1000000/=
Nikanunua smart watch pc50 sawa sawa nashilingi laki sita 600000/= Usafiri toka kwa supply wangu hadi kwa agent wangu ilikuwa dolla 8$ sawasawa nashilingi elfu kumi na tisa za Kitanzania.

Mpaka hapa nikawa nimetumia laki sita nakumi na tisa. Usafiri kutoka China hadi Dar ilikuwa laki moja nilitumia ndege ili mzigo wangu uwahikufika mapema ili nifanye biashara yangu haraka naulifika ndani yasiku saba tu.

Nikaanda pesa ya matangazo online laki moja ili niwafikie wateja kwa urahisi na niweze kufanya biashara haraka.

Nikatenga pesa ya bando 50000/= si mnafahamu tz hapo bando ni bei gali sana, nikatenga laki Moja ya delivery kwa wateja wangu wa mikoani na ndani ya dar.

Ukipiga mahesabu jumla nimetumia laki tisa naelfu sitini na tisa, na makato makato yale nikawa nimetumia laki 9 na elfu themanini kamili. Ukigawanya hiyo pesa kwa pc50 utapata kila smart watch imetumia elfu kumi na tisa na mia sita hadi kunifikia. Nakabakiwa na elfu ishiri yakujipongeza maana naamini katika uwezo Wangu.

Sasa twende kwenye Mauzo. Wakati nafanya research ya hii bidhaa niligundua wauzaji wanauza kwa bei ghali sana hapa tz smart watch moja ilikuwa inauzwa laki na nusu, nikaja na mbinu mbadala.

Nikatangaza nauza laki moja tu kwa kila smart watch na nunua zaidi ya moja atapata punguzo zaidi, basi kwakuwa nililipa pesa ya matangazo online. Kazi yangu ikawa nikupokea simu nakufanya delivery kwa wateja wangu tena kwa uaminifu zaidi.

Basi biashara haikukaa muda mrefu sana ndani ya Wiki mbili tu mzigo wangu wa smart watch pc50 ukawaumeisha na wateja bado wanahitaji kwa wingi.

FAIDA: Nilitumia milioni moja. Nikauza laki moja kila smart watch nikawanimeingiza milioni 4 na laki moja ya bonge lafaida mpaka sikuamini, nikawa nimepata faida ya million 3 nalaki moja looh nilifurahi sana.

Hitimisho: Nimeamua nisiwe mchoyo niwape na nyie hili deal. Kwa wale Wanaohitaji kuagiza mzigo China na haujui uanzie wapi nicheki whatsapp 0788906890 nikupe mwongozo.
FB_IMG_16838312201825242.jpg
 
Habari wakuu,

Leo nimewaletea mchongo wingine. Nafikiri kila mmoja anafahamu smart watch nini?

Kama haufahamu smart watch nisaa ya mkononi inayotumika kama kisaidizi cha Simu ya mkononi. Hutumika kupiga simu, kuchati online na kawaida, video call n.k

Kwasasa hizi smart watch zina soko sana hapa Tanzania kutokana nakuwarahisishia watumiaji kufanya mambo mengi bila ya simu, pia hutumika kama urembo vijana wengi hupenda kama usharobaro.

Baada yakugundua nidili sana kwa kufanya research hapa Tanzania na ni watu wachache wanaziuza nawauza kwa bei ya juu Sana na mimi kama kawaida yangu nikaingia kwenye masoko ya jumla kutafuta bidhaa hii.

Masoko hayo ya jumla ambayo ni Alibaba na 1688. Nikakuta bidhaa hii inauzwa elfu kumi na mbili za Kitanzania, baada ya kugundua bei hii nakukubaliana na supply wangu. nikaandaa bajeti. Bajeti yangu ilikuwa hivi.

Mtaji ulikuwa milioni moja 1000000/=
Nikanunua smart watch pc50 sawa sawa nashilingi laki sita 600000/= Usafiri toka kwa supply wangu hadi kwa agent wangu ilikuwa dolla 8$ sawasawa nashilingi elfu kumi na tisa za Kitanzania.

Mpaka hapa nikawa nimetumia laki sita nakumi na tisa. Usafiri kutoka China hadi Dar ilikuwa laki moja nilitumia ndege ili mzigo wangu uwahikufika mapema ili nifanye biashara yangu haraka naulifika ndani yasiku saba tu.

Nikaanda pesa ya matangazo online laki moja ili niwafikie wateja kwa urahisi na niweze kufanya biashara haraka.

Nikatenga pesa ya bando 50000/= si mnafahamu tz hapo bando ni bei gali sana, nikatenga laki Moja ya delivery kwa wateja wangu wa mikoani na ndani ya dar.

Ukipiga mahesabu jumla nimetumia laki tisa naelfu sitini na tisa, na makato makato yale nikawa nimetumia laki 9 na elfu themanini kamili. Ukigawanya hiyo pesa kwa pc50 utapata kila smart watch imetumia elfu kumi na tisa na mia sita hadi kunifikia. Nakabakiwa na elfu ishiri yakujipongeza maana naamini katika uwezo Wangu.

Sasa twende kwenye Mauzo. Wakati nafanya research ya hii bidhaa niligundua wauzaji wanauza kwa bei ghali sana hapa tz smart watch moja ilikuwa inauzwa laki na nusu, nikaja na mbinu mbadala.

Nikatangaza nauza laki moja tu kwa kila smart watch na nunua zaidi ya moja atapata punguzo zaidi, basi kwakuwa nililipa pesa ya matangazo online. Kazi yangu ikawa nikupokea simu nakufanya delivery kwa wateja wangu tena kwa uaminifu zaidi.

Basi biashara haikukaa muda mrefu sana ndani ya Wiki mbili tu mzigo wangu wa smart watch pc50 ukawaumeisha na wateja bado wanahitaji kwa wingi.

FAIDA: Nilitumia milioni moja. Nikauza laki moja kila smart watch nikawanimeingiza milioni 4 na laki moja ya bonge lafaida mpaka sikuamini, nikawa nimepata faida ya million 3 nalaki moja looh nilifurahi sana.

Hitimisho: Nimeamua nisiwe mchoyo niwape na nyie hili deal. Kwa wale Wanaohitaji kuagiza mzigo China na haujui uanzie wapi nicheki whatsapp 0788906890 nikupe mwongozo.
View attachment 2620237
Butua uwakomboe wenzako....haya maisha komborela.
 
Habari wakuu,

Leo nimewaletea mchongo wingine. Nafikiri kila mmoja anafahamu smart watch nini?

Kama haufahamu smart watch nisaa ya mkononi inayotumika kama kisaidizi cha Simu ya mkononi. Hutumika kupiga simu, kuchati online na kawaida, video call n.k

Kwasasa hizi smart watch zina soko sana hapa Tanzania kutokana nakuwarahisishia watumiaji kufanya mambo mengi bila ya simu, pia hutumika kama urembo vijana wengi hupenda kama usharobaro.

Baada yakugundua nidili sana kwa kufanya research hapa Tanzania na ni watu wachache wanaziuza nawauza kwa bei ya juu Sana na mimi kama kawaida yangu nikaingia kwenye masoko ya jumla kutafuta bidhaa hii.

Masoko hayo ya jumla ambayo ni Alibaba na 1688. Nikakuta bidhaa hii inauzwa elfu kumi na mbili za Kitanzania, baada ya kugundua bei hii nakukubaliana na supply wangu. nikaandaa bajeti. Bajeti yangu ilikuwa hivi.

Mtaji ulikuwa milioni moja 1000000/=
Nikanunua smart watch pc50 sawa sawa nashilingi laki sita 600000/= Usafiri toka kwa supply wangu hadi kwa agent wangu ilikuwa dolla 8$ sawasawa nashilingi elfu kumi na tisa za Kitanzania.

Mpaka hapa nikawa nimetumia laki sita nakumi na tisa. Usafiri kutoka China hadi Dar ilikuwa laki moja nilitumia ndege ili mzigo wangu uwahikufika mapema ili nifanye biashara yangu haraka naulifika ndani yasiku saba tu.

Nikaanda pesa ya matangazo online laki moja ili niwafikie wateja kwa urahisi na niweze kufanya biashara haraka.

Nikatenga pesa ya bando 50000/= si mnafahamu tz hapo bando ni bei gali sana, nikatenga laki Moja ya delivery kwa wateja wangu wa mikoani na ndani ya dar.

Ukipiga mahesabu jumla nimetumia laki tisa naelfu sitini na tisa, na makato makato yale nikawa nimetumia laki 9 na elfu themanini kamili. Ukigawanya hiyo pesa kwa pc50 utapata kila smart watch imetumia elfu kumi na tisa na mia sita hadi kunifikia. Nakabakiwa na elfu ishiri yakujipongeza maana naamini katika uwezo Wangu.

Sasa twende kwenye Mauzo. Wakati nafanya research ya hii bidhaa niligundua wauzaji wanauza kwa bei ghali sana hapa tz smart watch moja ilikuwa inauzwa laki na nusu, nikaja na mbinu mbadala.

Nikatangaza nauza laki moja tu kwa kila smart watch na nunua zaidi ya moja atapata punguzo zaidi, basi kwakuwa nililipa pesa ya matangazo online. Kazi yangu ikawa nikupokea simu nakufanya delivery kwa wateja wangu tena kwa uaminifu zaidi.

Basi biashara haikukaa muda mrefu sana ndani ya Wiki mbili tu mzigo wangu wa smart watch pc50 ukawaumeisha na wateja bado wanahitaji kwa wingi.

FAIDA: Nilitumia milioni moja. Nikauza laki moja kila smart watch nikawanimeingiza milioni 4 na laki moja ya bonge lafaida mpaka sikuamini, nikawa nimepata faida ya million 3 nalaki moja looh nilifurahi sana.

Hitimisho: Nimeamua nisiwe mchoyo niwape na nyie hili deal. Kwa wale Wanaohitaji kuagiza mzigo China na haujui uanzie wapi nicheki whatsapp 0788906890 nikupe mwongozo.
View attachment 2620237
Sidhani kama smart watch kwa sasa ni 100,000, nimewanunulia watoto juzi mjini kwenye duka la wahindi kwa shiling 50,000 tu, na hapo nilizunguk maduka kadhaa ya mjini nikakuta bei zinatofautiana kidogo sana
 
Habari wakuu,

Leo nimewaletea mchongo wingine. Nafikiri kila mmoja anafahamu smart watch nini?

Kama haufahamu smart watch nisaa ya mkononi inayotumika kama kisaidizi cha Simu ya mkononi. Hutumika kupiga simu, kuchati online na kawaida, video call n.k

Kwasasa hizi smart watch zina soko sana hapa Tanzania kutokana nakuwarahisishia watumiaji kufanya mambo mengi bila ya simu, pia hutumika kama urembo vijana wengi hupenda kama usharobaro.

Baada yakugundua nidili sana kwa kufanya research hapa Tanzania na ni watu wachache wanaziuza nawauza kwa bei ya juu Sana na mimi kama kawaida yangu nikaingia kwenye masoko ya jumla kutafuta bidhaa hii.

Masoko hayo ya jumla ambayo ni Alibaba na 1688. Nikakuta bidhaa hii inauzwa elfu kumi na mbili za Kitanzania, baada ya kugundua bei hii nakukubaliana na supply wangu. nikaandaa bajeti. Bajeti yangu ilikuwa hivi.

Mtaji ulikuwa milioni moja 1000000/=
Nikanunua smart watch pc50 sawa sawa nashilingi laki sita 600000/= Usafiri toka kwa supply wangu hadi kwa agent wangu ilikuwa dolla 8$ sawasawa nashilingi elfu kumi na tisa za Kitanzania.

Mpaka hapa nikawa nimetumia laki sita nakumi na tisa. Usafiri kutoka China hadi Dar ilikuwa laki moja nilitumia ndege ili mzigo wangu uwahikufika mapema ili nifanye biashara yangu haraka naulifika ndani yasiku saba tu.

Nikaanda pesa ya matangazo online laki moja ili niwafikie wateja kwa urahisi na niweze kufanya biashara haraka.

Nikatenga pesa ya bando 50000/= si mnafahamu tz hapo bando ni bei gali sana, nikatenga laki Moja ya delivery kwa wateja wangu wa mikoani na ndani ya dar.

Ukipiga mahesabu jumla nimetumia laki tisa naelfu sitini na tisa, na makato makato yale nikawa nimetumia laki 9 na elfu themanini kamili. Ukigawanya hiyo pesa kwa pc50 utapata kila smart watch imetumia elfu kumi na tisa na mia sita hadi kunifikia. Nakabakiwa na elfu ishiri yakujipongeza maana naamini katika uwezo Wangu.

Sasa twende kwenye Mauzo. Wakati nafanya research ya hii bidhaa niligundua wauzaji wanauza kwa bei ghali sana hapa tz smart watch moja ilikuwa inauzwa laki na nusu, nikaja na mbinu mbadala.

Nikatangaza nauza laki moja tu kwa kila smart watch na nunua zaidi ya moja atapata punguzo zaidi, basi kwakuwa nililipa pesa ya matangazo online. Kazi yangu ikawa nikupokea simu nakufanya delivery kwa wateja wangu tena kwa uaminifu zaidi.

Basi biashara haikukaa muda mrefu sana ndani ya Wiki mbili tu mzigo wangu wa smart watch pc50 ukawaumeisha na wateja bado wanahitaji kwa wingi.

FAIDA: Nilitumia milioni moja. Nikauza laki moja kila smart watch nikawanimeingiza milioni 4 na laki moja ya bonge lafaida mpaka sikuamini, nikawa nimepata faida ya million 3 nalaki moja looh nilifurahi sana.

Hitimisho: Nimeamua nisiwe mchoyo niwape na nyie hili deal. Kwa wale Wanaohitaji kuagiza mzigo China na haujui uanzie wapi nicheki whatsapp 0788906890 nikupe mwongozo.
View attachment 2620237
Biashara ya smart watch watu walipiga hela mwanzo but for now zmejaa kibao watu wanauza mpaka 30k na hazinunuliki ukisema hyo hela uliipiga zamani ntakubali
 
Back
Top Bottom