Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Kama wewe ni binaadamu mtumie link hizi binaadamu mmoja tu Tanzania hata kama ni nje ya Tanzania , huwezi kujua ukimfungua macho utamuokoa na nn , na yeye mwambie amtumie mtu mmoja tu, and boom, the truth goes viral all over ,
Siwezi kunyamaza tena, unganisha dots mwenyewe...
Muda umekwisha kabisa , alarm zote za mwisho.zimelia tayari ; mfano tu : mwaka jana mwishoni rais wa marekani , Joe Biden, amesain sheria ya ndoa za jinsia moja marekani , kwa sasa ruksa nchi nzima, ya marekani na sio baadhi ya majimbo tu kama ilivyokuwa hapo awali. Maandiko yanasema kuwa...
www.jamiiforums.com
Uzao wa Wanephili unavyowadanganya, mmeliwa kama hajui hili
Hawa jamaa mfumo wao bado ni uleiule wa kutengeneza problem ambazo hazina solution popote halafu wanaleta solution baadae wao wenyewe mfano magonjwa makubwa makubwa yasiyotibika kiurahisi duniani n.k. Vivyo hivyo ndio wanavyofanya katika uchumi wa dunia ulimwe guni kote, wanatubania kiuchumi...
www.jamiiforums.com