Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Muda umekwisha kabisa , alarm zote za mwisho.zimelia tayari ; mfano tu : mwaka jana mwishoni rais wa marekani , Joe Biden, amesain sheria ya ndoa za jinsia moja marekani , kwa sasa ruksa nchi nzima, ya marekani na sio baadhi ya majimbo tu kama ilivyokuwa hapo awali.
Maandiko yanasema kuwa nyakati za mwisho itakuwa kama " Sodoma na Gomora" , hivyo hiyo ni alarm kubwa kuliko zote ulizowahi kuzisikia kuhusu kiama, kwani dhambi zote Mwenyezi Mungu huvumilia lakini ikifikiaga hapo , ni kiberiti, hivyo sasa malaika wameshaanza kuandaa petroli huko juu
Jambo hilo halitaishia marekani, kwani kama ilivyo desturi , watafanya kila namna kulifamya lisambae ulimwenguni kote, ndio kiama yenyewe imewadia sasa.
Je, ni kina nani hao wanao tuletea mambo hayo ? Hao ni wanephili , wapo tangu zamani sana na ndio freemason ya sasa
ANGALIZO : PATA TAHADHARI HIYO KUWA SIO KILA MTU UNAEMUONA DUNIANI NI BINADAMU , WENGINE NI BINMAJINI , WENGINE WANADATE , WANAOA , WANAOLEWA NA HAO MFANO WA BINADAMU LAKINI WANASHANGAA MWANZONI UPENDO BAADAE MAUMIVU BILA HURUMA NA HATA MAUTI SAA NYINGINE.( WATCH OUT !!)
Maandiko yanasema kuwa nyakati za mwisho itakuwa kama " Sodoma na Gomora" , hivyo hiyo ni alarm kubwa kuliko zote ulizowahi kuzisikia kuhusu kiama, kwani dhambi zote Mwenyezi Mungu huvumilia lakini ikifikiaga hapo , ni kiberiti, hivyo sasa malaika wameshaanza kuandaa petroli huko juu
Jambo hilo halitaishia marekani, kwani kama ilivyo desturi , watafanya kila namna kulifamya lisambae ulimwenguni kote, ndio kiama yenyewe imewadia sasa.
Je, ni kina nani hao wanao tuletea mambo hayo ? Hao ni wanephili , wapo tangu zamani sana na ndio freemason ya sasa
ANGALIZO : PATA TAHADHARI HIYO KUWA SIO KILA MTU UNAEMUONA DUNIANI NI BINADAMU , WENGINE NI BINMAJINI , WENGINE WANADATE , WANAOA , WANAOLEWA NA HAO MFANO WA BINADAMU LAKINI WANASHANGAA MWANZONI UPENDO BAADAE MAUMIVU BILA HURUMA NA HATA MAUTI SAA NYINGINE.( WATCH OUT !!)
Uzao wa Wanephili unavyowadanganya, mmeliwa kama hajui hili
Hawa jamaa mfumo wao bado ni uleiule wa kutengeneza problem ambazo hazina solution popote halafu wanaleta solution baadae wao wenyewe mfano magonjwa makubwa makubwa yasiyotibika kiurahisi duniani n.k. Vivyo hivyo ndio wanavyofanya katika uchumi wa dunia ulimwe guni kote, wanatubania kiuchumi...
www.jamiiforums.com