- Thread starter
- #21
Kule havipandi kijanga!Fanya research Zanzibar kama vitu vinapanda hovyo hovyo kama huku
Kule havipandi kijanga!Fanya research Zanzibar kama vitu vinapanda hovyo hovyo kama huku
Uwepo mfumo wa ki-elektroniki wa kuwasajili, sio watu tu hata makosa waliyyafanya endapo mtu atakamatwa basi hata historia yake inakuwepo.Yaani Wanasheria wa Serikali walinishangaza sana kuleta ushahidi ambao unaonesha watu hawakuwekwa lock-up pale TAZARA wakati wahusika wanajua kabisa waliwekwa lock-up hiyo.
Mashahidi wa Serikali walishadadia sana kwa ushahidi wa sijui Jumanne yule kuonesha kuwa eti watuhumiwa hawakuwa lock-up ya TAZARA.
Bibi ushungi anatuhujumu huku bara maana hana cha kupotezaKule havipandi kijanga!
Kweli kabisa! Hii ndiyo itakuwa tiba! Kuna ndugu yangu mwaka huu huu alilazwa kalock-up ka pale ubungo Makuburi siku 3 bila kuandikishwa wala kuepelekwa popote kwa sababu tu eti alishuhudia Polisi wakimkamata mtuhumiwa kwa uonevu!Uwepo mfumo wa ki-elektroniki wa kuwasajili, sio watu tu hata makosa waliyyafanya endapo mtu atakamatwa basi hata historia yake inakuwepo.
Anasifiwa kwa kuupiga mwingi!Bibi ushungi anatuhujumu huku bara maana hana cha kupoteza
Hana mvuto tenaAnasifiwa kwa kuupiga mwingi!
Mh mkuu sky, siye wewe unayesifiaga kutwa utawala wa sisiem awamu ya6 humu jamvini?CCM inaendeleza utawala wa ki fashist uliyopelekea mabadiliko makubwa Ulaya wananchi walipambana kudai demokrasia.
Kuongezea wananchi kodi pasi na kuboresha maisha yao. Wapinzani wanaishi kama 2nd class citizens, wanapewa baadhi ya haki lakini wana CCM wanapewa haki zote.
Umemsahau! Huyu siku akisifia CCM - ANAKUFAAA!Mh mkuu sky, siye wewe unayesifiaga kutwa utawala wa sisiem awamu ya6 humu jamvini?
Leo imekuwaje tena?
Ama nimesahau Avatar!
Nitaomba unisamee ka'niivo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lini nimeusifia ninaomba comment japo moja tu.Mh mkuu sky, siye wewe unayesifiaga kutwa utawala wa sisiem awamu ya6 humu jamvini?
Leo imekuwaje tena?
Ama nimesahau Avatar!
Nitaomba unisamee ka'niivo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Baelezeeee!Ni lini nimeusifia ninaomba comment japo moja tu.
Anayesifiaga "mamaaa, mamaa" anakuwaga ni nani huyo kiherehere ngoja nitafuatilia.Ni lini nimeusifia ninaomba comment japo moja tu.
Basi tuseme nimebugi, tatizo avatar zao wameweka picha za wanawake flan amazing, sasa huwa zinanichanganya!Umemsahau! Huyu siku akisifia CCM - ANAKUFAAA!
Mama yangu yuko kijijini huko na ni mmoja tu. Chifu Hangaya ni Rais wangu.Anayesifiaga "mamaaa, mamaa" anakuwaga ni nani huyo kiherehere ngoja nitafuatilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Mungu atakuumbua siku moja kwa kuhukumu wengine bila sababu.Hata wewe ukiwa wakili hautakubali ushindwe hata kama unajua mteja wako anamakosa hao wanatetea mteja wao