Kama watu hawaandikishwi wakiingia lock-up basi ni ngumu kutrace kuhusu akina Ben Saanane, Azory, n.k

Yaani Wanasheria wa Serikali walinishangaza sana kuleta ushahidi ambao unaonesha watu hawakuwekwa lock-up pale TAZARA wakati wahusika wanajua kabisa waliwekwa lock-up hiyo.

Mashahidi wa Serikali walishadadia sana kwa ushahidi wa sijui Jumanne yule kuonesha kuwa eti watuhumiwa hawakuwa lock-up ya TAZARA.
Uwepo mfumo wa ki-elektroniki wa kuwasajili, sio watu tu hata makosa waliyyafanya endapo mtu atakamatwa basi hata historia yake inakuwepo.
 
Uwepo mfumo wa ki-elektroniki wa kuwasajili, sio watu tu hata makosa waliyyafanya endapo mtu atakamatwa basi hata historia yake inakuwepo.
Kweli kabisa! Hii ndiyo itakuwa tiba! Kuna ndugu yangu mwaka huu huu alilazwa kalock-up ka pale ubungo Makuburi siku 3 bila kuandikishwa wala kuepelekwa popote kwa sababu tu eti alishuhudia Polisi wakimkamata mtuhumiwa kwa uonevu!
 
CCM inaendeleza utawala wa ki fashist uliyopelekea mabadiliko makubwa Ulaya wananchi walipambana kudai demokrasia.

Kuongezea wananchi kodi pasi na kuboresha maisha yao. Wapinzani wanaishi kama 2nd class citizens, wanapewa baadhi ya haki lakini wana CCM wanapewa haki zote.
Mh mkuu sky, siye wewe unayesifiaga kutwa utawala wa sisiem awamu ya6 humu jamvini?

Leo imekuwaje tena?

Ama nimesahau Avatar!

Nitaomba unisamee ka'niivo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom