Kama watia Nia UDIWANI na UBUNGE wanajadiliwa na KAMATI KUU TAIFA, Je watia Nia URAISI watajadiliwa na kamati gani?

Kama watia Nia UDIWANI na UBUNGE wanajadiliwa na KAMATI KUU TAIFA, Je watia Nia URAISI watajadiliwa na kamati gani?

Street Hustler

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
2,263
Reaction score
4,471
Nini kazi ya kamati za SIASA mkoa na wilaya kazi zao zitakuwa ni kufanya Nini?

Diwani kamati ya wilaya ndio inamfamu vizuri kuliko taifa kulingana na mazingira ambapo anatokea.

Mbunge kamati ya mkoa ndio inamjua vizuri ikisaidia na wilaya

Rais huyu anatambulika na wajumbe wa mkutano mkuu taifa.

Kamati KUU TAIFA isizinyime furaha na uhitaji walionao kamati za wilaya na mkoa
 
Nini kazi ya kamati za SIASA mkoa na wilaya kazi zao zitakuwa ni kufanya Nini?

Diwani kamati ya wilaya ndio inamfamu vizuri kuliko taifa kulingana na mazingira ambapo anatokea.

Mbunge kamati ya mkoa ndio inamjua vizuri ikisaidia na wilaya

Rais huyu anatambulika na wajumbe wa mkutano mkuu taifa.

Kamati KUU TAIFA isizinyime furaha na uhitaji walionao kamati za wilaya na mkoa
Checks and balance lazima iwepo.

Unaogopa nini KAMATI KUU kuchambua wagombea wakati wamejaza fomu na kujieleza humo?
 
Checks and balance lazima iwepo.

Unaogopa nini KAMATI KUU kuchambua wagombea wakati wamejaza fomu na kujieleza humo?
Daktari mkuu wa serikali anaingia kwenye panel ya kumtafuta mganga mfawidhi wa zahanati ya Kijiji kweli?
 
Daktari mkuu wa serikali anaingia kwenye panel ya kumtafuta mganga mfawidhi wa zahanati ya Kijiji kweli?
Unaelewa maana ya CV? Kama record yako ni nzuri zaidi CV uliyowasilisha na fomu zitaeleza na hiyo inatosha.
Katika dunia ya sasa haitakiwi jambo zito kufanywa na ngazi moja au mtu mmoja pekee, ndio maana CCM wameweka utaratibu mzuri wa Kamati Kuu kupitia fomu na CV ili kujiridhisha.

Tuwe na imani Kamati Kuu itatuteulia wagombea bora zaidi.
 
Unaelewa maana ya CV? Kama record yako ni nzuri zaidi CV uliyowasilisha na fomu zitaeleza na hiyo inatosha.
Katika dunia ya sasa haitakiwi jambo zito kufanywa na ngazi moja au mtu mmoja pekee, ndio maana CCM wameweka utaratibu mzuri wa Kamati Kuu kupitia fomu na CV ili kujiridhisha.

Tuwe na imani Kamati Kuu itatuteulia wagombea bora zaidi.
Wagombea WOTE walitakiwa kupigiwa kura na wanachama, kwenye demokrasia watu hawatumi CV kufanyiwa interview na kikundi cha watu wachache.
 
Kamati kuu inafanya uteuzi na kamati za siasa za mikoa zinatoa MAPENDEKEZO kwa nafasi za ubunge ila kamati za siasa za mkoa zinafanya uteuzi na kamati za siasa za wilaya zinatoa mapendekezo kwa nafasi za UDIWANI
 
Back
Top Bottom