Kama washauri wenyewe wa Chadema ndio hawa...

Kama washauri wenyewe wa Chadema ndio hawa...

You are always negative on CDM kwa hiyo chochote utakachoandika kuhusu CDM hakitakuwa na maana, wewe endelea kumpamba Zitto huko ndiko unaeleweka
 
Kaka Chahali wazungu wanasema what goes around comes back on around. Mheshimiwa Mbowe alifurahia kitendo cha Lowassa kuhamia CDM, na moja kwa moja akampa nafasi ya kugombea urais.

Maana yake ni kwamba fitina za chini kwa chini ni mchezo wa kawaida kabisa kwenye maisha ya mheshimiwa huyu. Hivyo hawa wanaotoka CDM na kwenda CCM, unaweza kusema ni malipo ya fitina na michezo ya chini ya kapeti ambayo CDM wanaonyesha kuwa wanaipenda.

Simaanishi kuwa CCM ni wasafi kwa 100%, lakini udhaifu wa CDM kwa kukubali kuuza utu wao kwa vipande 30 vya fedha, unaendelea kuwageuka.
 
Chahali unaonekana uko smart ila kwa hii hoja umechemka, vita iliyopo ni kati ya chadema chama cha siasa na kikundi cha tiss, jwtz na polisi wanaotumia jina la ccm kuishambulia chadema, tena wanatumia resources za wananchi, na wala si vita ya vyama viwili vya siasa.

Kifupi ni kwamba ccm kama chama cha siasa kilishakufa siku nyingi, na ndio maana siku hizi tunawaona watu ambao wako front ni tiss, jwtz na police ndio wanavaa ukada. Sasa huwezi sema kwamba hulijui.

Kama wengine walivyosema waache waende, katika mpambano kuna wengine wataishia njiani, lakini hili lisitufanye kukata tamaa.
 
Zinawezekana sana. Unadhani operatives wote wa TISS wanapenda yanayoendelea? Hata na wao pia wanafamilia, wanaishi uraiani kama sisi.
Kama una bisha, Mange anapataje habari za humo ndani? Lissu alikuwa anazipataje?

Sema tu sasa hiv chama hakina watu wenye ushawishi tena. So wale operative wa TISS hawana imani kabisa nao hata kama wakiwavujishia habari.
Acha ndoto dogo
 
Zinawezekana sana. Unadhani operatives wote wa TISS wanapenda yanayoendelea? Hata na wao pia wanafamilia, wanaishi uraiani kama sisi.
Kama una bisha, Mange anapataje habari za humo ndani? Lissu alikuwa anazipataje?

Sema tu sasa hiv chama hakina watu wenye ushawishi tena. So wale operative wa TISS hawana imani kabisa nao hata kama wakiwavujishia habari.
Rudi darasani o level pengine utaelewa kuchambua
 
Sometimes huwa najiuliza! Kununuliwa? Basi kama ni kununuliwa, it's too much and no justification!!

Kwangu naona ni ujinga kwa CHADEMA kuwashutumu Wabunge wake kwamba wananunuliwa! Naona ujinga kwa sababu, hiyo biashara itakuwa ina-confirm only one thing kwamba: CHADEMA nayo imejaa a bunch of cheap politicians with price tags!

Hili ni jambo la aibu lisilofaa kuongelewa kwa mikogo!!

Endapo CHADEMA wangeshinda 2015, hawa akina Waitara wangekuwa ndo mawaziri wetu!

So, endapo leo hii CHADEMA inatuambia Wabunge wake wananunuliwa na CCM, sasa baada ya kuwa mawaziri wangeshindwa vp kununuliwa na mabepari ya kimataifa yanayotafuta money making deals in Tanzania?! Tuna oil and gas hivi sasa! Ni very corrupt industry duniani!

Lakini linapokuja suala la kompromat; tufanye kusikia tu! Hiyo ni habari nyingine! Kila mtu ana kitu ambacho asingependa kifahamike! Na wataalamu wakikukusudia; hata kama upo clean; unaweza kuwa setup!

Kwenye kompromat hakuna ujanja; yakikukuta; usishangae kukuta hata radicals kama akina Sugu na Lissu; ukakuta kesho wanaanza kuimba nyimbo za CCM!

Hata kama Evarist Chahali anaweza asiwe sahihi, but we've to think of this possibility as well!

Malcom Lumumba, JokaKuu
Kuna wakati nilikua naiamini sana chadema,baadae niliwaambia marafiki zangu Mimi chadema siwaamini tena inakuwaje viongozi wake wananunuliwa kijinga hivhivi Kwa mfano hawa viongozi wangepewa nchi so wangetuuza asubuhi kabisa...hili ni soma Kwa chadema,watu tumetoil huko vyuoni kuijenga chadema tunauchungu nayo tumerisk masoma yetu Kwa ajili ya chama ila linapo kuja swala uteuzi wanawateua watu wanaowajua wao and now time has come they have to pay the price
 
Kuna wakati nilikua naiamini sana chadema,baadae niliwaambia marafiki zangu Mimi chadema siwaamini tena inakuwaje viongozi wake wananunuliwa kijinga hivhivi Kwa mfano hawa viongozi wangepewa nchi so wangetuuza asubuhi kabisa...hili ni soma Kwa chadema,watu tumetoil huko vyuoni kuijenga chadema tunauchungu nayo tumerisk masoma yetu Kwa ajili ya chama ila linapo kuja swala uteuzi wanawateua watu wanaowajua wao and now time has come they have to pay the price
Kwakweli na blames zote zimweleker mwenye kiti.
 
Zinawezekana sana. Unadhani operatives wote wa TISS wanapenda yanayoendelea? Hata na wao pia wanafamilia, wanaishi uraiani kama sisi.
Kama una bisha, Mange anapataje habari za humo ndani? Lissu alikuwa anazipataje?

Sema tu sasa hiv chama hakina watu wenye ushawishi tena. So wale operative wa TISS hawana imani kabisa nao hata kama wakiwavujishia habari.
He hee, kwa iyo blaza wewe ulikuwa unamwamini mange kimambi.
Duh, mna safari ndefu sana.
 
Si ndio wewe unajuaga kila kitu na kupayuka kwa maandishi...
Eeeeeh leo naona usingizi uliukosa..
Jilaumu na nyie mnaopiga porojo mitandaoni.. kuwa wasemaji wa Chama.. na wao kuamua kuwaachia uwanja huku wenyewe wanachojali ni matumbo yao kwanza.
Kila mkiandika ni kudakia yanayofanya na CCM.. eeeh
Wewe lini umewahi kuandika juu ya nchama chako tu hata angalau kuhamasisha?
Ukila ukilala CCM.. wewe moyo upo CCM na mwili Chadema.. eeeeeeh
Kumbe u bomu unalia lia leo ha ha haaaa

HAWANUNULIWI.. WANAKIMBIA UOZO, CHAMA KILICHOJICHIMBIA SHIMO LA FUTI SITA NA KUDUMBUKIA WENYEWE..
Mbona umeandika kama mlevi wa pombe?
 
Zinawezekana sana. Unadhani operatives wote wa TISS wanapenda yanayoendelea? Hata na wao pia wanafamilia, wanaishi uraiani kama sisi.
Kama una bisha, Mange anapataje habari za humo ndani? Lissu alikuwa anazipataje?

Sema tu sasa hiv chama hakina watu wenye ushawishi tena. So wale operative wa TISS hawana imani kabisa nao hata kama wakiwavujishia habari.
Habari za Mange zinafurahishaga sana kwamba Wasafi Radio+Tv inamilikiwa na Kusaga hahah
 
Mtoa mada unafurahisha wewe unaongelea hali ya Kisiasa Tz wkt ulikimbilia nje kuokoa maisha yako,umeshaona yaliyofanyika kwa Lissu unataka wakina Mbowe wawe wafanye nini?Na wao wana familia zinawategemea bob.

Karibu Bongo uje upiganie siasa safi/uwe mshauri wa Chadema huku ukijionea hali halisi.
 
Unasahau kuwa kwa sasa haya hayaonekani CCM kwa vile kuna mkate kule. Unaamini say CDM au chama chochote mbali na CCM kikiwa madarakani wakahubiri ujinga huu wa kununua watu, walio sasa CCM hawatatoka? Hawatanunuliwa? Tafakari zaidi, usiishie karibu!
Hoja sio kununuliwa kwavile wanafuata maslahi bali hoja ni kwamba, ni jambo la fedheha kwa watu waliofikia hadhi ya ubunge kuweza kununuliwa!!

Na kama ni jambo la aibu, kwa taasisi kama CHADEMA ilitakiwa kuchutama na kutafuta namna nyingine ya ku-address issue kuliko kulalamimikia kununuliwa jambo linaloashiria kumbe wabunge wa CHADEMA nao wana price tag!

Sasa kama na wenyewe wana price tag, tutawatofautisha vp sasa na CCM?! Huu ufisadi uliopo CCM ni kwa sababu chama kimejaa watu wenye price tag na ndio maana hawaoni taabu kuuza maslahi ya nchi kwa maslahi yao wenyewe sawa na hao wa CHADEMA!
 
Chadema imefikia hatua ya kusaidiwa ufafanuzi na mtu anayejiuguza hospitali. Zile enzi za Tumaini Makene na katibu mkuu kupangua hoja hakuna tena.

Tusipowakosoa Chadema kwa nguvu leo hakika upinzani unaenda kupukutika na tunarudi miaka 20 nyuma.

Kuna washabiki maarufu wa mitandaoni wamegeuka wasemaji na kauli zao zinaonekana ni kauli za chama sababu chama chenyewe hakiko organised.

Imagine yote yanayoendelea Katibu mkuu hajasema chochote zaidi ya mipasho ya mitandaoni kama mashabiki wao.

Chadema acheni ubishi ....badilikeni mpone ..
 
Kupata taarifa kwa TISS ya sasa not easy like that braza. Kitengo kwa sasa kina endeshwa kwa weledi na uzalendo. Wataishia kupata tetesi zisizo na uhalisia. Weewe unasikia hata siku izi Siri za vikao vya state house au vikao vikuu vya chama zinavuja kama zamani. Mambo yamebadilika sana na kiukweli nimeiamini ule msemo kuwa mtu mmoja anaweza kubadilisha mambo kabisa.
Asikudanganye mtu!! Issue sio kwamba eti TISS ya sasa sio ya zamani bali CHADEMA ya sasa ndo siyo ya zamani ambayo watu walikuwa tayari ku-risk na kuwapenyezea taarifa nyeti!!!
 
Back
Top Bottom