Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Watu nyomi leaders club, pameshafurika na bado wanaendelea kujaa. Jua kali but hakuna anaejali. Mtu wa watu SK, R.I.P
Mtu wa watu,wenyewivu wajinyonge.MLM Mwakasege alishawahi kusema fikiria ukifa utaacha mark gani kwa jamii?kweli Kanumba aligusa mioyo ya watu
Ndio kuna watu wanashangaa why this umati kama sio wivu ni nini?hivi unaweza kuona wivu m2 akizikwa na watu wengi? au mimi ndio sijaelewa!