Waarabu walitoka kwao Uarabuni wakavamia Ardhi zetu za bara la Afrika nchi za Africa kaskazini ziwe Moroco, Algeria, Libya, Misri, nk, na wanakalia ardhi hizo Kwa nguvu ambazo ni ardhi za waafrika weusi.
Kama Waarabu wanafukuza Israel watoke Palestina na sisi Waafrika tuwatimue waarabu Afrika kaskazini na nchi zetu maeneo ambayo sio Yao walivamia? wanazokalia kwa nguvu waende kwao uarabuni watuachie ardhi yetu kama Wapalestina wanavyotaka na wao?
Kama Waarabu wanafukuza Israel watoke Palestina na sisi Waafrika tuwatimue waarabu Afrika kaskazini na nchi zetu maeneo ambayo sio Yao walivamia? wanazokalia kwa nguvu waende kwao uarabuni watuachie ardhi yetu kama Wapalestina wanavyotaka na wao?