Kama vipi muungano uvunjwe.

Kama vipi muungano uvunjwe.

farryandy

Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
55
Reaction score
28
zitazamwe faida na hasara za muungano kiundani... tusikae kung'ang'ania muungano kama pambo la kihistoria ambalo halitunufaishi kwa vyovyote wala kwa lolote... ni uupuzi... kama muungano wenyewe ndo malumbano kila siku... tuufutilie mbali kwasababu hasara zinakuwa nyingi kuliko faida. hat mke akizingua talaka ruksa.
 
Hizo ndio ndoto zangu,kwa umri wangu na kwa msaada wa Mungu najua ntashuhudia kuvunjika kwa muungano sio miaka michache ijayo.

Ni muda rasmi wa watanganyika kuwapa taraka wazanji,,watafute mabwana wengine kama oic nk.miaka 50 ya watanganyika kuwafanya wazenji nyumba ndogo unatosha,tuwape taraka rasmi.
 
Back
Top Bottom