Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Duuuh kweli malipo ni hapa hapa duniani
Saa 12 asubuhi nilipata ujumbe;
"Samahani kwa kukupotezea muda wako, najua inauma ila ndivyo mapenzi yalivyo, naomba usiwe unanipigia au kunitumia msg utanisababishia matatizo kwa mpenzi wangu"
Nilimjibu "Mbona sikuelewi"
akanijibu "Utaelewa tu"
Mwaka na sehemu ukapita akaachika kule akarudi kwangu, nilimpokea vizuri tukaendelea na hakujua ni wapi naenda kupata pointi tatu, nilimsubiri maumivu yake yalivyoisha na nikasubiri akolee.
Siku moja nilimuita Lodge mapemaaaa, kuanzia saa5 asubuhi mpaka saa2 usiku, siku hiyo nilikula mzigo mpaka alishangaa akaniuliza "vipi mbona leo hivi unanikomoa" nikamjibu "hapana nilikumisi sana".
Baada ya show kuisha saa2 usiku nikamwambia "Samahani kwa kukupotezea muda wako, najua inauma ila ndivyo mapenzi yalivyo, usiwe unanipigia simu au kunitumia msg, utanisababishia matatizo kwa mpenzi wangu"
Sikusubiri kusikia kilio chake au kuona chozi lake nikamuacha humo Lodge, sikupokea simu wala kujibu msg zake mpaka kesho.
Moyo wangu ulilipa kisasi cha Kibuti nikapoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kuna manzi nilidumu naye miaka 5 hadi mama yake alikuwa ananikubari kinoma yani. Sasa kuna muda tukatengana ila tukaja rudiana kama baada ya miezi mitatu na alinitafuta mwenyewe lakini tulivyorudiana yani alikuwa kama nimekutana na mtu mpya.

Alikuwa ka undego total transformation kuanzia taste ya vitu alikuwa anapenda vitu vya gharma kinoma, akawa hana adabu hata kidogo, mgomvi balaa.

Akawa amekuja tukaishi kama mwezi sitosahau ndipo nilielewaa kwanini kuna wanaume wakitoka kazini wanaishia bar nyumbani wanaenda kulala. Demu alinifanyia vituko sijapata ona.

Alipoondoka akarudi kwao, ndipo tukaendelea kuwasiliana kumbe akiwa huko ana mtu ila mimi nikawa nishasoma mchezo maana mapenzi hayajificha na hizo whatsapp status nikawa nasoma kinachoendelea.

Kuna siku nillimpost binamu yako kama whatsapp profile pic nikamuwish bday. Ghafla napokea video toka kwa huyo bidada kumbe yuko na jamaa sijui wanavishana pete ehe na akanipiga block whatsapp.
Sikuwahi kumtafuta wala kumuuliza chochote nikapiga kimya.

Sikuwahi mfuatilia namba zake nikafuta ikaniuma kinoma lakini sikuwahi thubutu mtafta ila nikawa tu kuna jamaa yangu kila nikikutana naye ananipa habari zake mimi nikamwambia babu sitaki kujua habari zake we kama unamfuatilia mfuatilie wewe mimi sitaki sikia habari zake.

Ikapita miezi nane, nashangaa siku moja napokea msg mambo, namba siijuui kuicheck mpesa nikakuta jina lake nikaipotezea, ikapita kama week tatu ikatuma tena msg nikajibu akauliza we ni flani nikajibu ndiyo, akasema nimekumiss sana yani. Nikamjiu mimi nipo tu. Nikachat naye kawaidatu sikuwahi kumuuliza yuko wapi wala nini tulipomaliza na chip nikaivunja.

siku hizi kila siku anatuma email maana anafahamu email zangu sizjibu.
Kwahiyo tukusaidie nn? Ila we jamaa boya sana mwanaume unaachana na Mwanamke unamrudia tena hafu unakuja kulalamika
 
Hivi visa bwana vinaumiza sana....mimi ninamwaka sasa toka wife aseme hanikubali,sina hadhi na yeye,ni mke wangu wa ndoa nimeishi nae miaka 13 na ninawatoto 3 ivi sasa ameanza taratibu za talaka ameniachia watoto 3 nasubiri kitakacho jiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..13 years..Mm ndio kwanza nafukuzia mwaka wa 6.
Ndio maana hua sion haja ya ku celebrate yearlly anniversaries like wengi wanafanya maana ndoa hizi dakika 0 tu chaliiii
 
Kuna kipindi dem alinitext "kuanzia leo tuachane" sikumjibu wala nn.

zikapita wiki kama mbili hivi kumbe alikuwa na kibwana chake kimechoka ile mbaya, akaona hana anachokipata kwa jamaa akarudi kwangu na kujiombesha msamaha, namuangalia tu naona kama ananizingua.

Anajipigisha magiti kuomba msamaha vilio vingi vya kinafki vikazidi.

Nilichokifanya kuna dem ambae huwa tunachat ambae ni rafiki yake nikamtext akaja nikamtambulisha mbele yake.

Dem alizimia nikampepea alipoamka nikamwambia kuanzia leo sikutaki."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UWANJA WA WAZINZI
tenor(1).gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi dem alinitext "kuanzia leo tuachane" sikumjibu wala nn.

zikapita wiki kama mbili hivi kumbe alikuwa na kibwana chake kimechoka ile mbaya, akaona hana anachokipata kwa jamaa akarudi kwangu na kujiombesha msamaha, namuangalia tu naona kama ananizingua.

Anajipigisha magiti kuomba msamaha vilio vingi vya kinafki vikazidi.

Nilichokifanya kuna dem ambae huwa tunachat ambae ni rafiki yake nikamtext akaja nikamtambulisha mbele yake.

Dem alizimia nikampepea alipoamka nikamwambia kuanzia leo sikutaki."

Sent using Jamii Forums mobile app

we jamaa una roho mbaya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom