Jamani wanjf kwa leo nimekutana na swali gumu kweli na nimekosa jibu lake,kama ungekuwa wewe ungejibu vipi?kaka kaliniuliza eti bro ungependa uwe dafu uchokonorewe,uwe nazi ukunwe,uwe shuka utandikwe,bazook utafunwe?hebu naomba help pliz ungependa uwe nini?
Jamani wanjf kwa leo nimekutana na swali gumu kweli na nimekosa jibu lake,kama ungekuwa wewe ungejibu vipi?kaka kaliniuliza eti bro ungependa uwe dafu uchokonorewe,uwe nazi ukunwe,uwe shuka utandikwe,bazook utafunwe?hebu naomba help pliz ungependa uwe nini?
Jamani ,haya bwana mchi,twanga kotekote usitumie hirizi,