Kama unataka kuwa na pesa ndani ya utumishi wa umma tafuta sehemu nzuri bila kujali kiwango cha elimu yako. Kama unatafuta vyeo tafuta Masters

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,153
Huo ndio ukweli.
Kuna wahandisi waandamizi ndani ya serikali ya Tanzania wanafanana mshahara na mafundi wenye diploma ambao ndio kwanza wanaanza kazi serikalini.
Ukiweka na posho Eng. anakalishwa chini.
Kuna wahasibu wenye CPA wanakalishwa chini kimaslahi na masekretari . Wote wako serikali Moja.
Posho ya askari private wa TPDF ni kubwa kuliko mshahara wa baadhi ya watumishi wa umma. Ukiweka na mshahara ndio kabisa maafisa wengi tu wa umma hawamfikii askari wa TPDF ambaye ni form four.
Kama unataka vyeo tafuta Masters ila kama unataka pesa tafuta taasisi nzuri
 
Huo ndio ukweli.
Kuna wahandisi waandamizi ndani ya serikali ya Tanzania wanafanana mshahara na mafundi wenye diploma ambao ndio kwanza wanaanza kazi serikalini.
Ukiweka na posho Eng. anakalishwa chini.
Kuna wahasibu wenye CPA wanakalishwa chini kimaslahi na masekretari . Wote wako serikali Moja.
Posho ya askari private wa TPDF ni kubwa kuliko mshahara wa baadhi ya watumishi wa umma. Ukiweka na mshahara ndio kabisa maafisa wengi tu wa umma hawamfikii askari wa TPDF ambaye ni form four.
Kama unataka vyeo tafuta Masters ila kama unataka pesa tafuta taasisi nzuri

Kwan mafundi wa veta wenye elimu ya certificate level 2/3 wanalipwa shingap kwenye taasisi za serikali?
 
Huo ndio ukweli.
Kuna wahandisi waandamizi ndani ya serikali ya Tanzania wanafanana mshahara na mafundi wenye diploma ambao ndio kwanza wanaanza kazi serikalini.
Ukiweka na posho Eng. anakalishwa chini.
Kuna wahasibu wenye CPA wanakalishwa chini kimaslahi na masekretari . Wote wako serikali Moja.
Posho ya askari private wa TPDF ni kubwa kuliko mshahara wa baadhi ya watumishi wa umma. Ukiweka na mshahara ndio kabisa maafisa wengi tu wa umma hawamfikii askari wa TPDF ambaye ni form four.
Kama unataka vyeo tafuta Masters ila kama unataka pesa tafuta taasisi nzuri
Kaka hapo kwenye tpdf umetiyanga, kuna taasis za umma (sizitaji) ila zina mfumo wa kijeshi ambamo private mshahara wake ni close to officer wa tpdf. Wana marupurupu tpdf wakasome.
 
Kwan mafundi wa veta wenye elimu ya certificate level 2/3 wanalipwa shingap kwenye taasisi za serikali?
Inategemea na taasisi uliyoajiriwa.
Elimu Moja mishahara tofauti.
Kuna taasisi wanaweza ku double mara 2 mpaka 3 ya taasisi nyingine.
Kuna Jamaa NTA level 6 kuna taasisi alikuwa analipwa 520k kipindi hicho, akahamia taasisi B wali double salary yake mara 2 na ushehe na posho wali double karibu mara 5 hivi ya ile ya taasisi A.
 
Hizo taasisi zinazolipa vzr zimeajiri watu 100 Hadi 5000 nchi nzima isipokuwa jwtz yenye 100,000+

Fanyeni biashara, kilimo, ufugaji na udalali
Sio kweli mzee ,kuna wakal mdogo tu wanalipana vizuri wana wafanyakazi mpaka 200 ,labda useme nafasi za juu ni chache maan mikoa unakuta manager na subordinates kibao .

Kila ofisa mmoja unakuta yupo juu ya assistants hata 7.
 
Kwa kweli hapa serikali ilikosea sana, sijui nani alikaa kupanga mishahara ya watumishi wa umma.

Huko serikalini hakuna tija Kwa sababu watu Wana vinyongo kweli kweli. Watu wamesoma wote hadi chuo kikuu halafu mwingine anapata 15M na mwingine 900K hapa ni kuandaa bomu tu.

Huyu wa 900K atakuwa hafanyi kazi ipasavyo bali atakuwa anabuy time tu akivizia nae kuingia kwenye hizo taasisi.

SERIKALI YANGU IFANYE JAMBO HARAKA
 
Huo ndio ukweli.
Kuna wahandisi waandamizi ndani ya serikali ya Tanzania wanafanana mshahara na mafundi wenye diploma ambao ndio kwanza wanaanza kazi serikalini.
Ukiweka na posho Eng. anakalishwa chini.
Kuna wahasibu wenye CPA wanakalishwa chini kimaslahi na masekretari . Wote wako serikali Moja.
Posho ya askari private wa TPDF ni kubwa kuliko mshahara wa baadhi ya watumishi wa umma. Ukiweka na mshahara ndio kabisa maafisa wengi tu wa umma hawamfikii askari wa TPDF ambaye ni form four.
Kama unataka vyeo tafuta Masters ila kama unataka pesa tafuta taasisi nzuri

Kuipata hiyo taasisi nzuri.
 
Kwa kweli hapa serikali ilikosea sana, sijui nani alikaa kupanga mishahara ya watumishi wa umma.

Huko serikalini hakuna tija Kwa sababu watu Wana vinyongo kweli kweli. Watu wamesoma wote hadi chuo kikuu halafu mwingine anapata 15M na mwingine 900K hapa ni kuandaa bomu tu.

Huyu wa 900K atakuwa hafanyi kazi ipasavyo bali atakuwa anabuy time tu akivizia nae kuingia kwenye hizo taasisi.

SERIKALI YANGU IFANYE JAMBO HARAKA
Unataka Consumer na Producer wafanane Mishahara? Leo upo Halimashauri unataka Ulipwe Sawa Na Mtu wa TRA au BOT huoni utofauti wa taasisi mzee?
 
hivi serekalini kuna pesa kuliko kwenye migodi?? kama barrick na ggm??
Nimefanya kazi mgodi wa Bulyanhulu chini ya Barrick na baadaye acacia.
Wenye pesa mgodini ni wachache, external experts ndio wanakula mpaka 50 ml. na zaidi kwa mwezi ila wataalamu wa ndani hulipwa pesa ya kawaida tu .
Serikalini inategemea mahali ulipo
 
Unataka Consumer na Producer wafanane Mishahara? Leo upo Halimashauri unataka Ulipwe Sawa Na Mtu wa TRA au BOT huoni utofauti wa taasisi mzee?
Achane dhahani

Kuna BOT mshahara ni kias gani?

TRA pia ni kiasi gani?
 
Back
Top Bottom