habari wadau..
natafuta contacts za viongozi wa serikali za wanafunzi dar..
kama unasoma ifm, tia, ustawi, tudarco. nyerere, cbe, duce, etc please please niipatie namba ya member yeyote ya serikali ya wanafunzi hapo chuoni kwenu
kuna project ya wanachuo inaandaliwa,,, nimuhimu nikapata namba za hao watu.. maana tunaanza na dar kwanza
natafuta contacts za viongozi wa serikali za wanafunzi dar..
kama unasoma ifm, tia, ustawi, tudarco. nyerere, cbe, duce, etc please please niipatie namba ya member yeyote ya serikali ya wanafunzi hapo chuoni kwenu
kuna project ya wanachuo inaandaliwa,,, nimuhimu nikapata namba za hao watu.. maana tunaanza na dar kwanza