Kama unampenda mpe zawadi kama hii

Kama unampenda mpe zawadi kama hii

Nitampa wangu zawadi ya hivyo ili iwepo hadi mwakani ... nampa na mchanganuo

Nampa mitetea 7 na jogoo mmoja ...
after one year naamini atakuwa na kuku zaidi ya mia tano.
Na tangu hapo atakuwa hana habari na wewe tena
 
Chumba kimoja cha kupanga, banda hana unategemea nini kama siyo kuliwa na wote?
 
Nimnunulie afaidike apate vifaranga wachinje wale na mshikaji wake
 
Back
Top Bottom