Kama unajua kichina

Kama unajua kichina

Joined
Nov 25, 2013
Posts
56
Reaction score
9
Habari zenu kama kuna mtu anatafuta ajira na ana fahamu lugha ya kichina tafadhali anitumie sms kwenye email joe.sam99@yahoo.com
Ili niweze kumlink na watu wanaehitaji mkalimani
Yeye atakuwa anafanya kazi ya ukalimani na mshahara hautapungua dola 1000
Kama kweli unahitaji kazi na unafaham hio lugha tafadhali ni tafute kupitia hio email nikulink na hao watu wanaohitaji
 
Kama ajira ipo Zanzibar sema mkuu.
Kuna jamaa nikupe sasahivi,maana hata Ubalozi wa China wa Zanzibar huwa wanawatumia
 
Back
Top Bottom