The Machine114
Member
- Jan 1, 2020
- 78
- 89
Dah! Uzi utia moyo kupambana sana japo dah!
Boss ingekuwa vizur zaid ungetupa moja mbili namna ya kuwekza kwenye cryptocurrencyNi Ku invest kwenye cryptocurrency
Kwan hii inakupa faida hadi zaidi hata Mara tano ya mtaji wako.
Boss ingekuwa vizur zaid ungetupa moja mbili namna ya kuwekza kwenye cryptocurrency
Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile
Cryptocurrency ni moja ya uwekezaji wenye faida sana kwa sasa ,,ukizingatia kuwa dunia inaelekea kwenye matumizi yake ,,so kwa muda huu wakati ndo inaanza kusambaa ni vyema zaidi kuwekeza huko ,,mfano wa cryptocurrency inayo julikana zaidi ni Bitcoin lkn ziko currency nyingi sana ,Boss ingekuwa vizur zaid ungetupa moja mbili namna ya kuwekza kwenye cryptocurrency
Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
Bitcoin hela zetu had wa Leo hamna kituCryptocurrency ni moja ya uwekezaji wenye faida sana kwa sasa ,,ukizingatia kuwa dunia inaelekea kwenye matumizi yake ,,so kwa muda huu wakati ndo inaanza kusambaa ni vyema zaidi kuwekeza huko ,,mfano wa cryptocurrency inayo julikana zaidi ni Bitcoin lkn ziko currency nyingi sana ,
Na ukitaka kuona faida yake ni kuwekeza kwenye platforms na platform ziko nyng lkn zenye maslahi ni chache ,,kujua zaidi ndgu yang njoo inbox nikupe no ya WhatsApp tuelekezane ni jinsi gani na wap pa kuwekeza hizi ndizo fulsa za kupeana vijana
Inategemea umewekeza wap bro,,,wengi wamezoea kuwekeza kwenye Bitcoin kwa kununua na kuitunza kwenye wallet kisha kuuza baadae ,,na kama unavyojua bongo utapeli kibao ukikutana na maajent wajanja wajanja ,,,ukitaka kuona faida ya crptocurrency ni kuwekeza ndani ya platform ambayo utanunua cryptocurrencies na kuziuza humohumo ambapo ndani ya platform kuna wallet na kila kitu ,,,na kuuza na kununua ni kwa uwazi na currency zipo nyngiBi
Bitcoin hela zetu had wa Leo hamna kitu
Bro wewe ushawekeza na unamiaka mingapi toka uwekeze .....Inategemea umewekeza wap bro,,,wengi wamezoea kuwekeza kwenye Bitcoin kwa kununua na kuitunza kwenye wallet kisha kuuza baadae ,,na kama unavyojua bongo utapeli kibao ukikutana na maajent wajanja wajanja ,,,ukitaka kuona faida ya crptocurrency ni kuwekeza ndani ya platform ambayo utanunua cryptocurrencies na kuziuza humohumo ambapo ndani ya platform kuna wallet na kila kitu ,,,na kuuza na kununua ni kwa uwazi na currency zipo nyngi
Inahusiana na nn hii bro ?na je unaifanya na kwa mda gan ??Biashara ya micro credit ,iko vizuri na inaweza kukulipa vizuri lkn uwe na not less than 10m. Kama kujitolea niko tayari kumpa mtu moja experience na payout yake.
Nimeifanya biashara nyingi lkn hii ni the best kwangu hakuna biashara nzuri kma hii
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Uliwekeza ndani ya platform gani?Bro wewe ushawekeza na unamiaka mingapi toka uwekeze .....
Make mm naongelea kitu ambacho nishafanya na nkaliwa na hela nlikua naiona kabsa ila mwisho wa siku hamna chchte ....
M9 bitcoin , bitcoin yenyewe hamna mambo kabsa
Kwa mtu mwenye hela ya mawazo sidhani kama itamfaa hiiNi Ku invest kwenye cryptocurrency
Kwan hii inakupa faida hadi zaidi hata Mara tano ya mtaji wako.
Hebu deavua kinagaubaga zaidiNilikuwa nikiskia faida ya 30,40 au 50 kwa siku naona ni kazi ngumu/ unahitaji mtaji mkuubwa.
Kumbe hata laki kwa siku inawezekana tu tena kwa mtaji wa kawaida kuanzia 1-5 millions.
Ni ubunifu tu na kuwa makini na biashara yako
Mkuu msaada natamani sana kujua hii biasharaBiashara ya micro credit ,iko vizuri na inaweza kukulipa vizuri lkn uwe na not less than 10m. Kama kujitolea niko tayari kumpa mtu moja experience na payout yake.
Nimeifanya biashara nyingi lkn hii ni the best kwangu hakuna biashara nzuri kma hii
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Ikoje hiyo mkuu?,tupe shule.Biashara ya micro credit ,iko vizuri na inaweza kukulipa vizuri lkn uwe na not less than 10m. Kama kujitolea niko tayari kumpa mtu moja experience na payout yake.
Nimeifanya biashara nyingi lkn hii ni the best kwangu hakuna biashara nzuri kma hii
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
micro credit =ukopeshaji si ndioBiashara ya micro credit ,iko vizuri na inaweza kukulipa vizuri lkn uwe na not less than 10m. Kama kujitolea niko tayari kumpa mtu moja experience na payout yake.
Nimeifanya biashara nyingi lkn hii ni the best kwangu hakuna biashara nzuri kma hii
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app