Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Nimeanza hii shughuli kuanzia mwaka jana, ila mpka sasa kwa siku kuingia kuanzia 50,000 hadi 100,000 ni suala la kawaida kabisa. Karibu kama utahitaji muongozo na kama utapenda kuifanya nikupe zana zote kipindi hiki, haiitaji utoke ukutane na mteja, yaani kila kitu unamliza online. Karibu.

View attachment 1432781



*STUDY MATERIALS FROM PRIMARY TO ADVANCE LEVEL.*

*FULL HOLIDAY PACKAGES FROM PRIMARY LEVEL TO ADVANCE LEVEL.* Whatsap/Call/sms 0752026992
Email: musabskilld@gmail.com

PRIMARY LEVEL ALL SUBJECTS.
1. Baby class.
2. Middle class.
3. Pre-unit
4. Standard 1 to standard 7.

ORDINARY - LEVEL ALL SUBJECTS
1. Form one.
2. Form two.
3. Form three.
4. Form four.
ADVANCE LEVEL ALL COMBINATIONS.
1. All science subjects (PCM, PCB, PGM, CBG etc)

2. All arts subjects (HKL, HGL, HGE etc)

Mzazi pia unaweza mchukulia mwanao.

Material yote yapo katika mfumo wa softcopy hivyo unaweza tumiwa kwa njia ya whatsap, telegram au email popote ulipo Tanzania.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

*LESSON NOTES, BOOKS, QUESTION AND ANSWERS REVISON, SCHEMES OF WORK, PRACTICAL SOLVED QUESTION AND ANSWERS*

TANZANIA STUDY MATERIALS RESOURCE (PRIMARY LEVEL TO UNIVERSITY)

1. Complete notes from form one to form six all subjects.

BASIC MATHEMATICS, ADVANCED MATHEMATICS, BASIC APPLIED MATHEMATICS, CHEMISTRY, PHYSICS, BIOLOGY, GEOGRAPHY, ECONOMICS, HISTORY, KISWAHILI, GENERAL STUDY, ACCOUNTANCY, COMMERCE, COMPUTER, ENGLISH, CIVICS, BOOK KEEPING, ISLAMIC KNOWLEDGE, BIBLE KNOWLEDGE,

2. Past papers (Exams) with marking scheme (Primary level, O-level and Advance level)

TESTS, MOCK, NECTA, TERMINAL, ANNUAL, PRE-NECTA, PRE-MOCK EXAMS.

+255 752026992

3. COMPLETE SCHEMES OF WORK ALL SUBJECTS (Primary level, O-level and Advance level).

4. POWERPOINT NOTES.

5. LITERATURE ANALYSIS

(PASSED LIKE A SHADOW, UNANSWERED CRIES, SPARED, THE LION AND THE JEWEL, THREE SUITORS ONE HUSBAND, HOUSE BOY, THE CONCUBINE, ETC)

6. UHAKIKI WA KAZI ZA FASIHI RIWAYA, TAMTHILIA NA MASHAIRI (MALENGA WAPYA, WASAKATONGE, WATOTO WA MAMA NTILIE NA NYINGINE NYINGI)

7. TEXTBOOKS
(Primary level, O-level and Advance level)

BIOLOGY BOOK 2, BIOLOGY BOOK 3, BIOLOGY BOOK 4, PURE MATHEMATICS 1 & 2, CHAND 1 AND 2 PHYSISCS, MAARIFA YA JAMII DARASA LA SITA, LAMBERT CHEMISTRY, QUESTIONS AND ANSWER BOOKS, PRINCIPLES OF PHYSICS, TOPICAL REVISION BOOKS, 1300 MATHS FORMULAS NA VITABU VINGINE VINGI PIA VINAPATIKANA
.
Kwa wamiliki wa *stationary* , *shule* , *website* na *waalimu* ambao watahitaji library nzima, yaani vyote vilivyo katika tangazo hili na mengine tunaweza wasiliana pia.

8. QUESTION AND ANSWERS REVISON PAMPHLETS (Primary level, O-level and Advance level)

9. Solved practical Questions and answers form one to form six,
physics, chemistry and biology.

Whatsap 0752026992

Material yote yapo katika mfumo wa softcopy hivyo unaweza tumiwa kwa njia ya whatsap, telegram au email popote ulipo Tanzania.

Kwa wale ambao wangependa tukutane, tunapatikana Ubungo, Dar es salaam.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

Kwa wamiliki wa *stationary* , *shule* , *website* na *waalimu* ambao watahitaji library nzima, yaani vyote vilivyo katika tangazo hili na mengine tunaweza wasiliana pia.
Hivi hii biashara baada ya muda si itajifunga yenyewe? Namanisha Wanafunzi watakuwa wanatumiana hayo materials wao kwa wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina boda boda mbili zinanipatia 20,000 per day. Mpaka sasa bado sijaonja mbichi ya hii bizne sijui huko mbeleni. Nimepanga hadi December nafunga mwaka na boda nane.
Kikubwa nilichobaini ni kuwajali hawa boda yaani usiwe siriaz sana siku aki dash we chukulia poa mwambie Ata adjust next day. Yaani ukiwa boss poa utaenda nao sawa tu.
Mkataba wao na wewe upoje boss? Je boda umeifunga tracker incase ikiibiwa? Natamani kufanya hii ila napata ka uoga flan hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii biashara ukiwauliza watu humu wanakatisha sana tamaa eti bodaboda ni pasua kichwa

Kiuhalisia kumbe sio, mimi tangu januari ninayo inaniletea hesabu ya 8000 kila siku
Kikubwa ni kuwa boss tu akidash siku moja mbili atajazia tu siku za mbele na kazi inaenda poa
Mwenyewe hapa natamani niongeze boda ya pili

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba upoje? Na boda anailaza kwako au unamuachia alale nayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuwaza kuwa;
Unaenda kwa mama ntilie na laki moja unaongea nae umpe laki moja ili aongeze mtaji na kuboresha huduma... Ila ww unachotaka ni hela ya sahani moja tu kila cku (1500 mpka 2000) ndani ya mwaka mmoja...kwa mwez una 45,000/= or 60,000/= kwa mwaka una 540,000/= au 720,000/=
Sasa tufanye una milion moja.... Zungusha kwa watu kumi, jumla kwa mwaka unakusanya 5,400,000/= au 7,200,000/=
Then unafungua mghahawa wako... Huku unaendelea kununua sahani kwa akina mama..
Hii nayo Kali nimeipenda
 
Juzi kati Niko kwa mangi kuna jamaa akaja nakibegi chake anauza vocha za aina zote jumla nikadodosa nikaambiwa yeye anatembeza mji mzima anauzia maduka n.k dah hivi mabunda ya vocha huwa yanachukuliwa branch za mitandao au maana nimewaza jamaa anamake faida ndogondogo sana ila volume kubwa kuna MTU anaijua hii adadavue kiundani
 
Wengine tunapiga mikeka tu, BETTING ,

Mtaji kuanzi jero 500

Siku ikienda poa utajikuta unagawa elf tano tano kwa aliyekusogelea



NB: We kama hufatilii mpira usije kabisa huku,,

Kwa maelezo zaidi tembelea ule uzi Wazee wenzangu wa kubeti uko humu jf
mm daily nahakikisha nalaza ten through betting hapo nishatoa matumizi yangu
 
Juzi kati Niko kwa mangi kuna jamaa akaja nakibegi chake anauza vocha za aina zote jumla nikadodosa nikaambiwa yeye anatembeza mji mzima anauzia maduka n.k dah hivi mabunda ya vocha huwa yanachukuliwa branch za mitandao au maana nimewaza jamaa anamake faida ndogondogo sana ila volume kubwa kuna MTU anaijua hii adadavue kiundani
Ungemuuliza huyo jamaa angekupa majibu sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba upoje? Na boda anailaza kwako au unamuachia alale nayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba ni makabiziano tu kwamba umemkabizi dereva pikipki, kila siku ataleta kiasi fulani basi

Pikipiki anashinda na kulala nayo kama yake vile
Service ikitokea mnakutana mnarekebisha, kila baada ya siku 7 mnabadili oil na hapo ndio unapata wasaa wa kuikagua pikipiki pia

Kinachosumbua ni kwamba mtu akiwa na pikipiki anataka apewe hesabu na bado anataka amtumie dereva kwenye shughuli zake au atumie pikipiki yake

Ishi kiboss ukiamua ni pikipiki ya biashara acha ipige biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah.... Mbona biashara hatari sana hiyo

Ubaya wa vocha ni kama sigara tu

Mzigo mwepesi lakini hela ndefu,

Watu wakimjulia maisha yake yatakuwa hatarini
Juzi kati Niko kwa mangi kuna jamaa akaja nakibegi chake anauza vocha za aina zote jumla nikadodosa nikaambiwa yeye anatembeza mji mzima anauzia maduka n.k dah hivi mabunda ya vocha huwa yanachukuliwa branch za mitandao au maana nimewaza jamaa anamake faida ndogondogo sana ila volume kubwa kuna MTU anaijua hii adadavue kiundani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom