Kama unafahamu hiki kifaa, wewe ni Muhenga

SirAlfred006

JF-Expert Member
Sep 21, 2020
509
1,207
Basi wewe ni mhenga.
IMG_20211121_064317.jpg
 
Wakati nikiwa mdogo nilifanya innovation ya ajabu wakati huo huko kijijini kwetu, niliokota hiyo dainamo nikatengeneza mabati fulani mithili ya mapanga boi nikaunganisha na hiyo dainamo nikaitega kwenye upepo, nikaunga na waya mpaka ndani nikaweka glopu moja sebleni nyingine nje. Ikawa upepo unazungusha lile pangaboi taa zinawaka. Basi mpaka mwenyekiti wa kijiji akaja nyumbani kushangaa umeme na kusema ataniombea nikasome shule ya ufundi.

Huwezi kuamini saa hizi nafuga kuku, kipaji changu kimeenda na maji.
 
Mbona bado vipo tu na baiskeli huko vijijini zinatumia sana tu. Shida yenu ni kuwa mjini hakuna baiskeli na zilizopo usiku hazitembei.

Vv
 
Wakati nikiwa mdogo nilifanya innovation ya ajabu wakati huo huko kijijini kwetu, niliokota hiyo dainamo nikatengeneza mabati fulani mithili ya mapanga boi nikaunganisha na hiyo dainamo nikaitega kwenye upepo, nikaunga na waya mpaka ndani nikaweka glopu moja sebleni nyingine nje. Ikawa upepo unazungusha lile pangaboi taa zinawaka. Basi mpaka mwenyekiti wa kijiji akaja nyumbani kushangaa umeme na kusema ataniombea nikasome shule ya ufundi.

Huwezi kuamini saa hizi nafuga kuku, kipaji changu kimeenda na maji.

Hii namimi niliifanya, uzuri nilienda shule ya ufundi, nikasoma Electrical and Electronics Form Four...habari ya shule ikaishia hapo ila sijaua kipaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom