Kama unaamini unapendwa sana unajidanganya

Kama unaamini unapendwa sana unajidanganya

acha tu ndugu yangu, na kuchart Jf kama mod vile kila thread upo 🤣🤣🤣 ila kama ningekuwa na mzigo hapa mahaba kama yote 😁😁😁 vizabibu pembeni vikaranga ila sasa dah navimba macho tu hapa
Kabisa tumekuwa ka moderator, kila thread unatia comment🤣🤣🤣
Tungekuwa na hela mbona sasa ulishalika warembo kwenye aprtment, pombe, vilainishi ulishaviweka standby....hapo kinachosubiriwa na warembo kulewannankuanza kicheza na de libolo.
 
Mapenzi ya Tanzania yapo kimaslahi zaidi, mwanaume unapendwa kwa kile ulicho nacho. Wanaume tutafute pesa usiku na mchana. Mwanaume asiye na pesa mapenzi ya dhati atayapata kwa mama yake.

Na Kama unatafuta pesa ili upendwe basi ndio Kabisa akili za mtu huyo hajitambui.

Kupendwa ni natural, ukiona mtu anakipendea pesa jua hakupendi isipokuwa pesa zako.

Mwanaume anatafuta pesa Kwa sababu ni jukumu lake kutunza familia na jamii ili aheshimike.

Mwanaume hapendwi na kamwe hatafutwi kupendwa
 
Kabisa tumekuwa ka moderator, kila thread unatia comment🤣🤣🤣
Tungekuwa na hela mbona sasa ulishalika warembo kwenye aprtment, pombe, vilainishi ulishaviweka standby....hapo kinachosubiriwa na warembo kulewannankuanza kicheza na de libolo.
😁😁😁😁 Jf inaokoa sana, kidogo hapa unajipa nguvu unapokutana na wadau ambao mmepigika mnapiga mastory tu ... hapa kuna manzi hapa inajua sina hata cha ten, haiwezi sogeza pua hata kidogo maana inajua kesho itaondoka bila posho.. acha niendelee kukwaruza kengele zangu hadi unga uishe
 
Back
Top Bottom